Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
TAHADHARI-SIMU ZA MKONONI
Wanabodi:
Nashauri kila mwenye simu ya mkononi
Amtambulishe mke wake kwa maneno "My Wife" au "Mke wangu"
Au kwa wanawake "My Husband" au "Mume Wangu"
Na kwa bachelors "My Fiancee" au "Mchumba wangu"
Na kwa watu wa kawaida majina muhimu kama "Mjomba,Kaka,
Dada,Shemeji,Baba Mzazi,mama Mzazi Nk.nk.nk
Sababu za haya majina:
Kwanza unapopata matatizo ya ajali zisizotegemewa kama wanafanikiwa Kuokota simu yako wasamaria
wema wanaweza kutoa taarifa mara moja either kwa mumeo au mke wako Au ndugu yako wa karibu.
Watu wengi wamezoea kuandika majina kama Sophia, Zainabu, shabani, Julius, Esther nk huwezi kujua Mtu
muhimu kwa huyu marehemu aliyepata ajali akafariki porini mara moja. Hii ni muhimu Sana wanaJF.
Tuzingatie hili wanaJF lisijekupata lililompata jamaa mmoja baada ya kupata ajali na kuzimika (kuzimia) bahati nzuri alikuwa na ka-mchina kake lakini hawakuweza kumpata Mke wake mpaka jamaa anapelekwa hospital baada ya siku tatu ndo mke anapata Taarifa toka kwa mumewe.
Wanabodi:
Nashauri kila mwenye simu ya mkononi
Amtambulishe mke wake kwa maneno "My Wife" au "Mke wangu"
Au kwa wanawake "My Husband" au "Mume Wangu"
Na kwa bachelors "My Fiancee" au "Mchumba wangu"
Na kwa watu wa kawaida majina muhimu kama "Mjomba,Kaka,
Dada,Shemeji,Baba Mzazi,mama Mzazi Nk.nk.nk
Sababu za haya majina:
Kwanza unapopata matatizo ya ajali zisizotegemewa kama wanafanikiwa Kuokota simu yako wasamaria
wema wanaweza kutoa taarifa mara moja either kwa mumeo au mke wako Au ndugu yako wa karibu.
Watu wengi wamezoea kuandika majina kama Sophia, Zainabu, shabani, Julius, Esther nk huwezi kujua Mtu
muhimu kwa huyu marehemu aliyepata ajali akafariki porini mara moja. Hii ni muhimu Sana wanaJF.
Tuzingatie hili wanaJF lisijekupata lililompata jamaa mmoja baada ya kupata ajali na kuzimika (kuzimia) bahati nzuri alikuwa na ka-mchina kake lakini hawakuweza kumpata Mke wake mpaka jamaa anapelekwa hospital baada ya siku tatu ndo mke anapata Taarifa toka kwa mumewe.