Gluk
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 1,856
- 2,953
Leo ikiwa ni siku ya UKIMWI duniani hatuna budi kukumbushana mambo kadhaa juu ya janga hili hatari, hususani sisi vijana ambao ni wahanga wakubwa wa janga hili.
Naona siku mbili tatu humu jukwaani kumekuwa na mada nyingi zinazohusu janga hili.
Ila nilichoona ni kuwa vijana wengi tumejisahau sana na kutokujali kabisa afya zetu.
Hapa tunajifariji na kuona ni masihara ila ukweli ni kwamba huu ugonjwa usikie tu kwa jirani.
Binafsi nimewahi kupata ushuhuda kwa marafiki zangu wawili vipenzi sana. Mmoja aliupata kwa kutembea na Jimama wakati anasoma na mwingine kaukwaa hivi majuzi tena bila shaka nahisi ni kwa mtu waliyekutana humu JF japo sina uhakika sana..
Vijana, hupaswi kucheza kamari katika afya yako huwezi kutumia kondom ni bora utulie maana hutapungukiwa na chochote kabsa.
Starehe ya dk 10 isikufanye ujutie maisha yako yote.
Leo utaona kuwa ni jambo dogo ila siku yakikupata ya kukupata utasaga meno.
Acha niishie hapa.
Naona siku mbili tatu humu jukwaani kumekuwa na mada nyingi zinazohusu janga hili.
Ila nilichoona ni kuwa vijana wengi tumejisahau sana na kutokujali kabisa afya zetu.
Hapa tunajifariji na kuona ni masihara ila ukweli ni kwamba huu ugonjwa usikie tu kwa jirani.
Binafsi nimewahi kupata ushuhuda kwa marafiki zangu wawili vipenzi sana. Mmoja aliupata kwa kutembea na Jimama wakati anasoma na mwingine kaukwaa hivi majuzi tena bila shaka nahisi ni kwa mtu waliyekutana humu JF japo sina uhakika sana..
Vijana, hupaswi kucheza kamari katika afya yako huwezi kutumia kondom ni bora utulie maana hutapungukiwa na chochote kabsa.
Starehe ya dk 10 isikufanye ujutie maisha yako yote.
Leo utaona kuwa ni jambo dogo ila siku yakikupata ya kukupata utasaga meno.
Acha niishie hapa.