ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,535
- 7,946
Namba +255743539329 imenipigia na kujifanya kunipa hongera eti nimeshinda bonus ya Mpesa, wanasema niwatajie kiasi kilichopo kwenye account yangu ya mpesa, nikacheka nikawaambia kwa nini mmetumia namba binafsi? Wakakata simu haraka na sasa hawapatikani tena. TCRA naomba niwasilishe malalamiko haya kwenu au mnipe utaratibu wa kuleta malalamiko. Nimeweka hapa kuwapa tahadhari wengine.