mie naona hiyo lbd itasaidia wanaume kutulia!! nilikuwa natamani kila mwanaume akutane na jini alafu limzabue makofi kama mawili tu, then tabia zenu zitabadilika na kukaa sawa!!
Ndo mkome kuokota okota!
Wanaume mnaopenda kuchukua wasichana warembo hususani kama umekutana nae siku moja na kumtaka kimapenzi ikibidi kusex nae siku hiyo hiyo ni hatari sana.
mtaani sasa hivi majini wanawake yamejaa sana, utaona ni mrembo kama malaika kumbe jini utamdu muda si mrefu utapotea au utapata madhara
hakikisha msichana unaetaka kuwa nae kimahusiano unamjua vizuri eithe anaishi wap, anafanya kazi wap, marafiki zake ni nani, alisoma wapi na ufanye uchunguzi wa kina kabla hajaparamia majini!
majini watu ni wengi wanapita mabaa usiku au njiani wamesimama mchana/usiku wanarembua kweli kweli tuwe makini kwa hilo nina mifano hai wameonekana.
Sijasema u nimesema m nikimaanisha wenye tabia hiyo!Kama hujawahi wasiwasi wa nini?mbona kama unanishutumu kwa kuleta mada, au nimekosea kuwakumbusha wanaume wenzangu hata kwa mumeo linaweza tokea so awe makini
Kula kitimoto na bia hayakufati ng'o
Binafsi I dont support tabia ya mwanaume kujiokotea msichana ambaye hamjui na kwenda kulala naye.Ila najua wapo watu wa aina hiyo na ndio hao yanawakuta,lakini kwa kuwasaidia tu ndugu zanguni endapo utakutana na jini ni rahisi sana kumfahamu kabla hata hujaendelea na mambo yako.Mtazame machoni,na ukiona hana "eye blinking" basi huyo sio binadamu wa kawaida na umuepuke.Kwa kuwa binadamu wote akikutazama lazima macho yanafunga(kupiga kope)tofauti na majini ambayo yenyewe huwa hayana hali hiyo na yanatazama moja kwa moja,na likishakushtukia unalitazama machoni huwa yanajitahidi kukwepesha macho hivyo kwa njia hiyo itakuwia rahisi sana kuligundua,nawatakia kila la kheri katika harakati zenu watafutaji wa one night stand kwani najua mpo humu.
kama uko bia ya tisa utakuwa na muda wa kuchunguza macho?
Uzuri wa Majini hayana NGOMA
Kuna mwingine kule kwa kina Rev masanilo alikuwa anatabia kila akiona binti mrembo lazima atie neno
Siku moja saa saba anatoka baa akakutana na mwanamke mzuri kama malaika anapotembea ni kama nguva ndani ya bahari
Jamaa katia neno Bi dada akasema yes sir haina neno,jamaa na pupa zake akabanjua na binti mrembo baadae Binti akamwambia yeye ni nani,
na kila siku akawa lazima atokee kwa jamaaktk mazingira ya kutatanisha apate dose yake
Jamaa ,akaanza kuchanganyikiwa bila sababu na mpaka kupelekea uhai wake kuondoka
Bwana Masa kama ni kweli hebu nambie hiki kisa nilikikuta kwenu Zenj mitaa fulani :wink2:
Azaniye na mwanamke hana akili kabisa, anafanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake