Tahadhari: Mmiliki wa hii namba alitaka kutapeli

Tahadhari: Mmiliki wa hii namba alitaka kutapeli

Siwezi kwenda police kwasababu sijatapeliwa ila nimetoa taadhari kuhusiana na hio no
na inakuwaje kwa wale matapeli wanao tengeneza sms xa miamala kuonyesha kwamba katoa au kutuma na inaendana sawa na salio ulonalo, je hao sio wafanyakazi wa voda? na ikitokea hivyo nifanyeje maana mi ni muhanga na nishatapeliwa... jamaa anaitwa athuman mohamed dogoli ila anatumia namba hii 0715187291. [HASHTAG]#ATLAS[/HASHTAG] COPCO
 
Mimi ninafanya kazi vodacom Moshi nakuambia jambo ambalo tunaliona sana watu wanalalamika kutapeliwa ila ukichunguza unajua kua niugomvi tu..

Ila wewe kama nikweli kwanini usiende na polisi kabisa
Umejuaje kama hajaenda polisi?. Ujinga huo upo sana mitandaoni
 
Naona kama vile kuna mkanganyiko. Kuna mahali namba inaishia 6; na mahala pengine namba inaishia 8 (angalia post #9 na#10 hapo juu). Angalieni msije taja namba ya mtu asiye husika.
Samahani kwa usumbufu mkuu kweli hio no nimekosea kwenye kuedit ila no yenyewe ni hii 0766652628 ambayo inaonekana kwenye huo muamala wa Mpesa
 
na inakuwaje kwa wale matapeli wanao tengeneza sms xa miamala kuonyesha kwamba katoa au kutuma na inaendana sawa na salio ulonalo, je hao sio wafanyakazi wa voda? na ikitokea hivyo nifanyeje maana mi ni muhanga na nishatapeliwa... jamaa anaitwa athuman mohamed dogoli ila anatumia namba hii 0715187291. [HASHTAG]#ATLAS[/HASHTAG] COPCO
Kuhusiana na inshu ya huyo wasiliana na voda mkuu wanaweza wakakupa maelekezo zaid
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mmiliki wa hii no ni tapeli anajifanya anafanya kazi vodacom huduma kwa wateja
View attachment 531983

Ila kwa kifupi hii no 0766652626 ilinipigia sim week iliyopita,baada ya kuipokea tu sim jamaa anaongea as if (anafanyakazi voda)basi akanitaja jina langu mm nikamuitikia naamu nakusikiliza,akaniuliza umetumiwa pesa M pesa muda mfupi uliyopita mm nikamjibu sijui kwasababu sijasikia notification yeyote imeingia kwenye sim yangu,akaniambia vodacom inafanya marekebisho kwenye system ya mpesa so kuna maelekezo ntakuwa nakuelekeza inabid unayafuatilize ili uweze kuendelea kupokea na kutuma miamala ya M pesa,mimi wakati huo namsikiliza tu sijaongea chochote,akaniambia hebu angalia kama kuna hela imeingia mm nilichomjibu tena kwa sauti ya ukali "niangalie ili iweje na uhakika unafanya kazi voda?"kwasababu nnavyojua voda kama voda kama kuna tatizo watawasiliana na ww kwa no 100,basi jamaa akakata sim nikajaribu kumpigia kwani anapokea sim mm nilichofanya nilimtumia tu sms ya kumuonya

Nb:watu wengi sana wanalalamika acc zao za M pesa kuibiwa hela zinazokuwemo humo,iwapo na mm ningekubali kufuata maelekezo ya jamaa lzm salio lilipo kwenye acc yangu ya Mpesa lingeyeyuka
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mmiliki wa hii no ni tapeli anajifanya anafanya kazi vodacom huduma kwa wateja
View attachment 531983

Ila kwa kifupi hii no 0766652626 ilinipigia sim week iliyopita,baada ya kuipokea tu sim jamaa anaongea as if (anafanyakazi voda)basi akanitaja jina langu mm nikamuitikia naamu nakusikiliza,akaniuliza umetumiwa pesa M pesa muda mfupi uliyopita mm nikamjibu sijui kwasababu sijasikia notification yeyote imeingia kwenye sim yangu,akaniambia vodacom inafanya marekebisho kwenye system ya mpesa so kuna maelekezo ntakuwa nakuelekeza inabid unayafuatilize ili uweze kuendelea kupokea na kutuma miamala ya M pesa,mimi wakati huo namsikiliza tu sijaongea chochote,akaniambia hebu angalia kama kuna hela imeingia mm nilichomjibu tena kwa sauti ya ukali "niangalie ili iweje na uhakika unafanya kazi voda?"kwasababu nnavyojua voda kama voda kama kuna tatizo watawasiliana na ww kwa no 100,basi jamaa akakata sim nikajaribu kumpigia kwani anapokea sim mm nilichofanya nilimtumia tu sms ya kumuonya

Nb:watu wengi sana wanalalamika acc zao za M pesa kuibiwa hela zinazokuwemo humo,iwapo na mm ningekubali kufuata maelekezo ya jamaa lzm salio lilipo kwenye acc yangu ya Mpesa lingeyeyuka
+255 743 663 918
 

Attachments

Unawashwa eeeh?
Mbona kama umepanic?
Usijitie unajua watu panyabuku wewe.
Mume wangu ni sumbai na ndoa juu na mtoto juu kama ulikuwa haujui.
Kuhusu Raimundo itakuwa alikutatua marinda kwa mkopo mpaka Leo hajakulipa.
Pole.
Hata hivyo nakujibu kimakosa endelea na ujinga wako.
Shwain

Hii haikuwa muhimu, kakuchokoza hlf na wewe ukachokozeka kweli
 
Atakuwa Raimundo tu huyo,halafu nasikia ana jicho moja huyo raimundo lingine waling'oa kwenye hayo mambo ya utapeli
 
Atakuwa Raimundo tu huyo,halafu nasikia ana jicho moja huyo raimundo lingine waling'oa kwenye hayo mambo ya utapeli
Nimecheka hadi machozi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Eti Raimundo ni baby wa cute b.
Yaani cute b na "ucute" wote huo unakua na li bwana "Mr. Tapeli"
Ptuuuuuuuuu!!!! Hadi kinyaa!!!
Mkuu tupo pamoja kwenye oparesheni ya #TOKOMEZA MATAPELI JF ila muache cute b hausiki kabisa.
Yule aliyekuwa akijitetea juzi alikuwa kadata akatoa maelezo vibaya...
Ila cute b ni msafi,asichafuliwe pls.
 
Back
Top Bottom