Tahadhari: Mmiliki wa hii namba alitaka kutapeli

Tahadhari: Mmiliki wa hii namba alitaka kutapeli

Mkuu tupo pamoja kwenye oparesheni ya #TOKOMEZA MATAPELI JF ila muache cute b hausiki kabisa.
Yule aliyekuwa akijitetea juzi alikuwa kadata akatoa maelezo vibaya...
Ila cute b ni msafi,asichafuliwe pls.

Dah bwana raimundo namuonea huruma sasa wakimtoa jicho la pili sijui itakuwaje yaani haachi tu kutapeli na anajua jicho la kwanza walimng'oa kwa ajili ya utapeli
 
Mkuu tupo pamoja kwenye oparesheni ya #TOKOMEZA MATAPELI JF ila muache cute b hausiki kabisa.
Yule aliyekuwa akijitetea juzi alikuwa kadata akatoa maelezo vibaya...
Ila cute b ni msafi,asichafuliwe pls.
Asante dear.
[emoji7] [emoji7] [emoji7]
 
Unawashwa eeeh?
Mbona kama umepanic?
Usijitie unajua watu panyabuku wewe.
Mume wangu ni sumbai na ndoa juu na mtoto juu kama ulikuwa haujui.
Kuhusu Raimundo itakuwa alikutatua marinda kwa mkopo mpaka Leo hajakulipa.
Pole.
Hata hivyo nakujibu kimakosa endelea na ujinga wako.
Shwain
Ahahahahaaaaa....
 
Pole kwa kadhia inayokukuta mpenzi.
Asante mamy. Namshukuru Mungu pia nipo hodari kupambana na Kila hali . si unakumbuka Kule enzi zetu ??? Ndipo paliponifunza kupamba na na hali zote za jf dear.
 
Asante mamy. Namshukuru Mungu pia nipo hodari kupambana na Kila hali . si unakumbuka Kule enzi zetu ??? Ndipo paliponifunza kupamba na na hali zote za jf dear.
Kwakweli zile enzi zilitujenga sana. Sasa hivi sishindwi kudeal na lolote/yeyote JF hii.
 
Back
Top Bottom