BadoNipo
Senior Member
- Jul 4, 2008
- 170
- 28
Tahadhari kwa wananchi wote wanaofanya biashara na wanataka kujitangaza kwa kupitia mabango.
Hivi karibuni kumeibuka makampuni mengi ambayo yanajishugulisha na biashara ya mabango. kumbe kuna mengine ambayo hayajasajiriwa na Brela. mfano ni hii kampuni ya brooklyn Media,
Hii imetokea ambapo Kampuni yetu iliingia mkataba toka mwaka jana mwezi wa kumi wa kujitangaza na kampuni moja hivi inaitwa Brooklyn International, na wameishalipwa 50 % ya malipo ya kuweka mabango matano hapa dar es salaam hadi leo hii ni bango moja tu ndio liliowekwa hayo mengine bado kumbe yale maeneo waliosema kuwa wanavibali na wahusika si kweli ni uongo mtupu.
Hadi leo hii tunapigwa tarehe tu mara wiki hii mara ijayo.
So kuweni waangalifu yasije yakawakuta kama yaliyotukuta sisi.
Hivi karibuni kumeibuka makampuni mengi ambayo yanajishugulisha na biashara ya mabango. kumbe kuna mengine ambayo hayajasajiriwa na Brela. mfano ni hii kampuni ya brooklyn Media,
Hii imetokea ambapo Kampuni yetu iliingia mkataba toka mwaka jana mwezi wa kumi wa kujitangaza na kampuni moja hivi inaitwa Brooklyn International, na wameishalipwa 50 % ya malipo ya kuweka mabango matano hapa dar es salaam hadi leo hii ni bango moja tu ndio liliowekwa hayo mengine bado kumbe yale maeneo waliosema kuwa wanavibali na wahusika si kweli ni uongo mtupu.
Hadi leo hii tunapigwa tarehe tu mara wiki hii mara ijayo.
So kuweni waangalifu yasije yakawakuta kama yaliyotukuta sisi.