Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,771
- 27,504
Ni wazo binafsi,
Upo uwezekano mkubwa siku ya leo jumamosi mpaka kesho alfajiri,vitendo vingi haramu hasa vinavyousiana kura za maruhani vinaweza vikatokea!,tuwe makini sana,mara tuhisipo hali isiyo ya kawaida mahali popote tanzania tuviripoti police mapema!/
**unaweza kuona mtu amevaa tai ukadhani ni mstaarabu kumbe ni wa hovyo zaidi ya wewe uliyevaa malapa**
Upo uwezekano mkubwa siku ya leo jumamosi mpaka kesho alfajiri,vitendo vingi haramu hasa vinavyousiana kura za maruhani vinaweza vikatokea!,tuwe makini sana,mara tuhisipo hali isiyo ya kawaida mahali popote tanzania tuviripoti police mapema!/
**unaweza kuona mtu amevaa tai ukadhani ni mstaarabu kumbe ni wa hovyo zaidi ya wewe uliyevaa malapa**