Tahadhari kwa watumiaji wa Facebook

Tahadhari kwa watumiaji wa Facebook

Mimi nina pending friend requests zipatazo 82. Sijazikubali maana siwajui na hawanifahamu
 
Mimi nina pending friend requests zipatazo 82. Sijazikubali maana siwajui na hawanifahamu

Hawa wasiokufahamu na wewe huwafamu ndio muhimu zaidi kuwa nao friend kuliko mtu mnayetoka nyumba moja.

Jitahidi kuwa na new connection siyo kila siku watu walewale na mawazo yaleyale.
 
Kama mtakumbuka kipindi cha nyuma watumiaji wa Internet tulikuwa wachache na wengi wetu hata uwezo wa kumiliki laptop tulikuwa hatuna tulitegemea kulipia one hour kwenye cafe kusoma email zetu na kuperuzi hapa na pale.

Sasa kuna mapinduzi makubwa ya teknolojia na mchina ndio kamaliza kazi na Vitecno na Huawei.Baada internet kushika kasi wambea wa mtaani nao wameamuwa kutufuata mitandaoni mtu anakuomba urafiki ukimkubali kimya chake utadhani hayupo kumbe kila siku anafuatilia tu maisha yako.

Nina friend request kama 10 hivi nimeziweka pending, mchina katuletea shida.

Mbona ht humu yapo hayo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nimewaelewa wapo hata wa kutoka nchi jirani wakikuona unamajina ya kiha kiha wanadhani na wewe ni FDLR na wengine wanadhani ni mmoja wao wa FNL... abahutu front
 
Kama umeamua kuwa kwenye social networks usiogope watu kujua kuhusu maisha yako
 
Hawa wasiokufahamu na wewe huwafamu ndio muhimu zaidi kuwa nao friend kuliko mtu mnayetoka nyumba moja.

Jitahidi kuwa na new connection siyo kila siku watu walewale na mawazo yaleyale.



sasa Matola, unakuta mtu hana mchango wowote angalau hata alike comments zangu katika media. Mtu yupo zero faced. Kwa sasa nimeanza kupunguza kutoka marafiki 1,920, na sasa wapo 1,600. Na bado ninawafweka
 
Last edited by a moderator:
Social network ni kama vijiwe/vibaraza vya kubadirishana mambo[- & +] usiziepuke,bali zitumie kwa akili na maarifa!
 
Hawa wasiokufahamu na wewe huwafamu ndio muhimu zaidi kuwa nao friend kuliko mtu mnayetoka nyumba moja.

Jitahidi kuwa na new connection siyo kila siku watu walewale na mawazo yaleyale.

Lkn kuna watu wengine ni kama wanafahamiana au kwavl ni co mwenyej sana
 
mimi mwenyewe natumia FB mwaka wa 4 sasa sijawahi kupata tatizo lolote sijakulewa unaposema mtu kwenye mtandao anakufuatilia kwa njia gani sasa .
 
Siibi, situkani mtu na wala siishi maisha fake so mmbea akinifuatilia ataumia roho yake.

Ukianza kujiwekea mipaka katika maisha yako sababu ya Watu kama hao ipo siku utashindwa kutoka nje ya Nyumbani kwako kisa wakikuona watasema.
 
Back
Top Bottom