Tahadhari kwa watumiaji wa Facebook

Tahadhari kwa watumiaji wa Facebook

Dr Matola PhD

Platinum Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
61,430
Reaction score
108,589
Kama mtakumbuka kipindi cha nyuma watumiaji wa Internet tulikuwa wachache na wengi wetu hata uwezo wa kumiliki laptop tulikuwa hatuna tulitegemea kulipia one hour kwenye cafe kusoma email zetu na kuperuzi hapa na pale.

Sasa kuna mapinduzi makubwa ya teknolojia na mchina ndio kamaliza kazi na Vitecno na Huawei.Baada internet kushika kasi wambea wa mtaani nao wameamuwa kutufuata mitandaoni mtu anakuomba urafiki ukimkubali kimya chake utadhani hayupo kumbe kila siku anafuatilia tu maisha yako.

Nina friend request kama 10 hivi nimeziweka pending, mchina katuletea shida.
 
Sijutii kuadiactvate akaunti yangu kule FB

Ila namiss sana post za Edo kumwembe.
 
Edo kumwembe siku hizi katukimbia amejoin whatsup sababu Facebook vijana wengi wanatukana matusi ya nguoni wasipopenda mada anayo post.
 
Kama mtakumbuka kipindi cha nyuma watumiaji wa Internet tulikuwa wachache na wengi wetu hata uwezo wa kumiliki laptop tulikuwa hatuna tulitegemea kulipia one hour kwenye cafe kusoma email zetu na kuperuzi hapa na pale.

Sasa kuna mapinduzi makubwa ya teknolojia na mchina ndio kamaliza kazi na Vitecno na Huawei.

Baada internet kushika kasi wambea wa mtaani nao wameamuwa kutufuata mitandaoni mtu anakuomba urafiki ukimkubali kimya chake utadhani hayupo kumbe kila siku anafuatilia tu maisha yako.

Nina friend request kama 10 hivi nimeziweka pending, mchina katuletea shida.

Nadhani akili yangu imekua ndogo maana nimeshindwa kuelewa mada yako.
 
Mkuuu kuna paragraph yenye main point umeiruka naona
 
Kwa wale wote ambao hamjanielewa usiwe real tena kwenye Facebook hata pibha unazopost chagua za kupost.

Wambea mtaani wamedoda sasa wanawafuata huko huko, hebu jiulize mwaka mzima mtu hajawahi kupost wala kucomment wala kulike post zako na yupo online daily huyu wewe ni wa nini kuwa kwenye friend list? Yeye kazi yake kupekuwa profile za watu na kufuatitilia activities zako.
 
Hii ni hatari sasa kama watu tunafatiliana hadi kwenye mitandao hao watu wamekosa kazi au Vp jamani!?
 
Kwa wale wote ambao hamjanielewa usiwe real tena kwenye Facebook hata pibha unazopost chagua za kupost.

Wambea mtaani wamedoda sasa wanawafuata huko huko, hebu jiulize mwaka mzima mtu hajawahi kupost wala kucomment wala kulike post zako na yupo online daily huyu wewe ni wa nini kuwa kwenye friend list? Yeye kazi yake kupekuwa profile za watu na kufuatitilia activities zako.

unajua maana ya like?????
 
Kama kuna watu ambao siwahofii kamwe katika huu ulimwengu basi ni hao wanaoitwa wambea
 
Back
Top Bottom