mashishanga
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 611
- 429
Kama kichwa kinavyojieleza,
Ni kuwa kuna watu hujitokeza kutafuta wapenzi, wake, waume wengi wameishia kulizwa na kupata mateso mbali mbali, kuna dada mmoja alikua anatafuta mume, alipata kweli, walichat na jamaa kama mwaka walionyesha mapenzi ya kweli kumbe jamaa alikua jambazi sugu na alikua anatafutwa.
Siku moja jamaa yake alimpigia simu aende sehemu anayoishi kwa kua anaumwa akishapona akamtambulishe, msichana alifungasha safari bila hata ndugu kuwambia, kafika kwa jamaa akamkuta anamajeraha mguuni anamuliza twende basi nikupeleke hospitali, jamaa akawa anapiga chenga kua hua natibiwa na Dactari wangu nyumbani, walikaa siku moja chumbani bila kutoka.
Kesho yake sa kumi na mbili dada alishangaa watu wanaongea ndani risasi zikaanza kurushwa ndani but nzuri hazikumpata mdada, badae maaskari walimuua yule kaka kumbe alikua jambazi sugu, maskari wakasema na huyu.
Mdada tumuue maana watakua anashirikiana nao mmoja wa askari akasema hapana tusimuue huyu atatusaidia kujua wengine wako wapi, walimchukua yule dada walimtesa akasema mimi simjui tulikutana mitandaoni na sikujua kazi yake.
Baadae yule dada alisimamia ukweli ndio akaachiwa akaja kuelezea, kiukweli kutafuta mtu wamaisha huku utakuja pata mapepo huku, jaribu kuangalia sehemu nyingine, wengine wamelizwa haswa mabinti, wanapata wanatoa papuchi wanaleta mrejesho kua wameumizwa, maana wengi watakupm waume za watu watu wa ajabu na matapeli wengi hupatikana kwenye mikusanyiko ya watu kua makini na mwenye masikio na asikie.
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Ni kuwa kuna watu hujitokeza kutafuta wapenzi, wake, waume wengi wameishia kulizwa na kupata mateso mbali mbali, kuna dada mmoja alikua anatafuta mume, alipata kweli, walichat na jamaa kama mwaka walionyesha mapenzi ya kweli kumbe jamaa alikua jambazi sugu na alikua anatafutwa.
Siku moja jamaa yake alimpigia simu aende sehemu anayoishi kwa kua anaumwa akishapona akamtambulishe, msichana alifungasha safari bila hata ndugu kuwambia, kafika kwa jamaa akamkuta anamajeraha mguuni anamuliza twende basi nikupeleke hospitali, jamaa akawa anapiga chenga kua hua natibiwa na Dactari wangu nyumbani, walikaa siku moja chumbani bila kutoka.
Kesho yake sa kumi na mbili dada alishangaa watu wanaongea ndani risasi zikaanza kurushwa ndani but nzuri hazikumpata mdada, badae maaskari walimuua yule kaka kumbe alikua jambazi sugu, maskari wakasema na huyu.
Mdada tumuue maana watakua anashirikiana nao mmoja wa askari akasema hapana tusimuue huyu atatusaidia kujua wengine wako wapi, walimchukua yule dada walimtesa akasema mimi simjui tulikutana mitandaoni na sikujua kazi yake.
Baadae yule dada alisimamia ukweli ndio akaachiwa akaja kuelezea, kiukweli kutafuta mtu wamaisha huku utakuja pata mapepo huku, jaribu kuangalia sehemu nyingine, wengine wamelizwa haswa mabinti, wanapata wanatoa papuchi wanaleta mrejesho kua wameumizwa, maana wengi watakupm waume za watu watu wa ajabu na matapeli wengi hupatikana kwenye mikusanyiko ya watu kua makini na mwenye masikio na asikie.
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app