Tahadhari:Kwa Wanafunzi Wote waliomaliza na watakaomaliza Advance na kutaka kusomea kada ya Afya.

MLALUKO JR

JF-Expert Member
May 3, 2015
962
305
Habari za muda huu wanajamvi
Poleni na hongereni kwa pilika za kuutafuta mkate wa kila siku
Kutokana na ubovu wa systems za vyuo baadhi vya afya kuwa na utaratibu wa kupandisha ada wapendavyo tofauti na utaratibu wa TCU.
Nawasihi vijana wenzangu,kama unajua maisha ya nyumbani si mazuri(financially) Basi usivijaze vyuo vya privates,Utapata pressure bureeeee!!!Mfano:Unakuta tcu guide book imeonesha ada ya chuo husika ni mil 1.8 lakini ukifika chuoni Unaambiwa ada ni Mil 3.2.
Japo tcu wanatuaminisha ada haijapanda lakini chuoni mambo ni tofauti,usipokuwa na fedha taslimu haupokelewi au mbadala wake uandike barua ya kuji"Commit"!!
Nawasilisha! naombeni TCU mpeteni vyuoni msikie vilio vyetu
 
Hata hivyo vyuo vya serikali (vimebaki viwili ) navyo mambo yashaanza kuwa hovyo

IMG-20161021-WA0013.jpg
 
Chuo Cha Afya Cha Serikali ni Kimoja (MUHIMBILI) tu! UDOM na UDSM sio Vyuo Vya Afya Bali Vinatoa Tu Baadhi Ya Kozi Za Afya (Nursing = Udom, MD = Udsm)!!!! Sasa unapowaambia Madogo Wasijaze Vyuo Vya Private Ambavyo Ndiyo Vingi! Je umeshawatafutia Suluhisho???
Mkuu Waache tu Madogo Wazicheze Karata Za Private kama Kawa.....
 
Hadi madaktar mnazinguliwa... Kweli tumelamba galasa
Ni shida Dada angu,yaani kuna baadhi ya vyuo vya private ukishangaa boom lote litaishia kwenye kulipa ada.Mbaya zaidi tcu wanakwmbia hawajaongeza ada afu chuo kinadai ada imeongezeka na bila pesa husajiliwi.Full dilemma
 
Chuo Cha Afya Cha Serikali ni Kimoja (MUHIMBILI) tu! UDOM na UDSM sio Vyuo Vya Afya Bali Vinatoa Tu Baadhi Ya Kozi Za Afya (Nursing = Udom, MD = Udsm)!!!! Sasa unapowaambia Madogo Wasijaze Vyuo Vya Private Ambavyo Ndiyo Vingi! Je umeshawatafutia Suluhisho???
Mkuu Waache tu Madogo Wazicheze Karata Za Private kama Kawa.....
Cjawakatalia ila nawapa tahadhari wacjekujuta
Fikiria,mtoto wa "pangu pakavu" kama mimi unaenda chuo ukijua ada ni mil.1.6 mathalani na bodi wanakulipia mil 1.6 tu but impromptuly unaambiwa ada imepanda mpka mil 3.2 bila kufata utaratibu wa TCU.je,pesa ya kuongezea kwa usawa huu karbia mil.2 mtoto wa maskini utaipata wapi???
 
Chuo Cha Afya Cha Serikali ni Kimoja (MUHIMBILI) tu! UDOM na UDSM sio Vyuo Vya Afya Bali Vinatoa Tu Baadhi Ya Kozi Za Afya (Nursing = Udom, MD = Udsm)!!!! Sasa unapowaambia Madogo Wasijaze Vyuo Vya Private Ambavyo Ndiyo Vingi! Je umeshawatafutia Suluhisho???
Mkuu Waache tu Madogo Wazicheze Karata Za Private kama Kawa.....
Udom course za afya ni degree programs - MD, NURSING, midwifery (nasikia imefutwa), diploma program - nursing, lab tech & pharmacy... Halafu Muhimbili si kama UDOM na UDSM, udom na udsm ni kama HAVARD au OXFORD wanatoa programs za aina mbalimbali kama engineering, IT zikiwemo na za afya tofauti na Muhimbili wao afya tuu.... So Muhimbili kwa UDOM au UDSM ni kama college tuuu.... Maana UDOM kuna College of Health and allied sciences (CHAS) ambayo ni sawa sawa na Muhimbili inatoa afya tuuu.... Usikalili kaka
 
Udom course za afya ni degree programs - MD, NURSING, midwifery (nasikia imefutwa), diploma program - nursing, lab tech & pharmacy... Halafu Muhimbili si kama UDOM na UDSM, udom na udsm ni kama HAVARD au OXFORD wanatoa programs za aina mbalimbali kama engineering, IT zikiwemo na za afya tofauti na Muhimbili wao afya tuu.... So Muhimbili kwa UDOM au UDSM ni kama college tuuu.... Maana UDOM kuna College of Health and allied sciences (CHAS) ambayo ni sawa sawa na Muhimbili inatoa afya tuuu.... Usikalili kaka
Kwan md udom mwaka huu haijafungiwa
 
Ni shida Dada angu,yaani kuna baadhi ya vyuo vya private ukishangaa boom lote litaishia kwenye kulipa ada.Mbaya zaidi tcu wanakwmbia hawajaongeza ada afu chuo kinadai ada imeongezeka na bila pesa husajiliwi.Full dilemma
Kumbe Ivuga ni Dada
Habari za muda huu wanajamvi
Poleni na hongereni kwa pilika za kuutafuta mkate wa kila siku
Kutokana na ubovu wa systems za vyuo baadhi vya afya kuwa na utaratibu wa kupandisha ada wapendavyo tofauti na utaratibu wa TCU.
Nawasihi vijana wenzangu,kama unajua maisha ya nyumbani si mazuri(financially) Basi usivijaze vyuo vya privates,Utapata pressure bureeeee!!!Mfano:Unakuta tcu guide book imeonesha ada ya chuo husika ni mil 1.8 lakini ukifika chuoni Unaambiwa ada ni Mil 3.2.
Japo tcu wanatuaminisha ada haijapanda lakini chuoni mambo ni tofauti,usipokuwa na fedha taslimu haupokelewi au mbadala wake uandike barua ya kuji"Commit"!!
Nawasilisha! naombeni TCU mpeteni vyuoni msikie vilio vyetu
 
Habari za muda huu wanajamvi
Poleni na hongereni kwa pilika za kuutafuta mkate wa kila siku
Kutokana na ubovu wa systems za vyuo baadhi vya afya kuwa na utaratibu wa kupandisha ada wapendavyo tofauti na utaratibu wa TCU.
Nawasihi vijana wenzangu,kama unajua maisha ya nyumbani si mazuri(financially) Basi usivijaze vyuo vya privates,Utapata pressure bureeeee!!!Mfano:Unakuta tcu guide book imeonesha ada ya chuo husika ni mil 1.8 lakini ukifika chuoni Unaambiwa ada ni Mil 3.2.
Japo tcu wanatuaminisha ada haijapanda lakini chuoni mambo ni tofauti,usipokuwa na fedha taslimu haupokelewi au mbadala wake uandike barua ya kuji"Commit"!!
Nawasilisha! naombeni TCU mpeteni vyuoni msikie vilio vyetu

Advance ni nini mkuu? Vyema ukarekebisha hiyo lugha au ukatumia lugha unayoimudu ili kuweka uzito wa hoja. Ili msomaji yeyote ajue aliyeandika mada anaufahamau wa kiasai gani.
 
Duuuh kwel wa tz wana haki ya kujuta kumkabidh nchi.
Kama sayans tena doctor anapata asilimia 40.
Daaah je, wale vijana wa art wanaosubir mikopo kaz wanayo.
haahaahaah sasa ubish wenu wa kujifanya fisiem dam nitauona.
Mm nawashaur lipa direct cost then postpone.
Labda mwakan mkulu atakua kwenye hal nzur ya kiuchumi.
Ngoja tu nmalizie kawimbo
Acha waisome namba eeeeh
ambae amekosa mkopo anisaidie kumalizia please
 
Advance ni nini mkuu? Vyema ukarekebisha hiyo lugha au ukatumia lugha unayoimudu ili kuweka uzito wa hoja. Ili msomaji yeyote ajue aliyeandika mada anaufahamau wa kiasai gani.
Shukrani!kwa kunikumbusha lkn namaanisha advanced education "form five&six"
 
Duuuh kwel wa tz wana haki ya kujuta kumkabidh nchi.
Kama sayans tena doctor anapata asilimia 40.
Daaah je, wale vijana wa art wanaosubir mikopo kaz wanayo.
haahaahaah sasa ubish wenu wa kujifanya fisiem dam nitauona.
Mm nawashaur lipa direct cost then postpone.
Labda mwakan mkulu atakua kwenye hal nzur ya kiuchumi.
Ngoja tu nmalizie kawimbo
Acha waisome namba eeeeh
ambae amekosa mkopo anisaidie kumalizia please
Uchochezi!lkn ukweli kuna baadhi ya vyuo vya private vina ongeza ada ovyo ovyo bila kujali
 
Back
Top Bottom