Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Pia wanaweza wakawa wanatumia line ambazo hazisomi majina yao, ukaishia kumchafua mtu ambae hausiki. Ila unaeza ukataja ID zao za humu JF ingawa ni rahisi kuachana nazo na kufungua mpya.Mkuu tumeshawatahadharisha watu...mwenye kusikia na asikie...tukitaja majina kuna watu watawaza tupo kwa lengo la kumchafua mtu
Alishakutafta nawewe mkuu?Huyu jamaaa Id yake ni "WA IGMA "
Aisee, aache kwakweli,si tabia njema hiyo, au umtaje tu mkuu aumbukeeNdiyo mi nilikuwa nawasikiliza tu but nia yao nilishaijua tangu mwanzo...but jamaa ni tapeli haswa na lipo humuhumu
Kuna mdau hapo juu kashamtaja...jamaa inaonekana kushatusumbua watu wengiAisee, aache kwakweli,si tabia njema hiyo, au umtaje tu mkuu aumbukee
Sent using Jamii Forums mobile app
This is not a political plattform !!!! Be organized!!!
Ndiyo mi nilikuwa nawasikiliza tu but nia yao nilishaijua tangu mwanzo...but jamaa ni tapeli haswa na lipo humuhumu
This is not a political plattform !!!! Be organized!!!
Not everything is to be politicised!!
Unaweza ukatoa maneno yako huko na CCM wako!!!! Sisi wengine hatujui mambo ya siasa unapoleta mijadala ya kisiasa humu unatukera!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyu jamaa Wa Igima ndo mchezo wake huo na anawafanyia wengi hivyo...sasa ni wakati wa kumuumbuaMimi huyu jamaaa nimewasiliana nae saidi ya Mara moja tenaaaaa anajifanya ni mtu mwenye huruma Kisha anamshirikisha jamaaa yake mmoja kana kwamba ni mtu wa system kuwa ukimtumia pesa anaomba pesa ya kuprint Kisha anakwambia ili akusainie tuma pesa ukimzongua anaanza kukuomba as if ni mtu wa msaada sanaaa but ni tapeli