IWAMBI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 730
- 624
kuna tapeli humu ukiweka tangazo la kutafuta kazi ya ualimu anakufuata inbox na kukupa number yake umcheki akijifanya anataka kukusaidia....ukimtafuta anashirikiana na jamaa yake mmoja kuanza kukupanga na maelezo mengi ili wakutapeli..wananjia nyingi za utapeli moja anakuunganisha na jamaa anayejifanya anafanya kazi tamisemi na huyo jamaa anajifanya kama anataka kukusaidia upate kazi serikalini na njia nyingine ukishawatumia CV wanajifanya kuna shule ya private inakuhitaji mtu kama wewe na hapo ndo utapewa maelezo mengine ya ziada but lengo lao mwisho wa siku wakutapeli.....hayo matapeli yanatumia number hizi mbili...(moja inaishia 56 na nyingine 87)