tema mate chini.kuna watu walijiamini 100%hawawezi kupata huo ugonjwa, kwa kujiona wapo ndani ya ndoa ambao kuna uaminifu. kwa sasa ni hiv positive.Kama una mke wako sidhani utababaika kutafuta condom.
Wanao tafuta condom ni wale vichaa wasio tulizana na wake zao au hawataki kuoa.
Wapumbafu watabaki kuwa wapumbafu tu, kwani condom nani amezipa mtaji kama sio vichaa wasio tulizana na wake zao, au wasio tafuta mke wakaoa :biggrin:
waliooa ndo wako hatarini..jombaaa usitutishe tulioooa..couples kibao zinadanjwa kwa huyu mdudu..hata wewe mwenyewe unajua..kama mkeo analiwa nje?au wewe unamega nje..si wote munaleta mdudu..ndani..wote ngoma droo..wa kwenye..ndoa ndo mnarisk kubwa...amini hivyoooKama una mke wako sidhani utababaika kutafuta condom.
Wanao tafuta condom ni wale vichaa wasio tulizana na wake zao au hawataki kuoa.
Wapumbafu watabaki kuwa wapumbafu tu, kwani condom nani amezipa mtaji kama sio vichaa wasio tulizana na wake zao, au wasio tafuta mke wakaoa :biggrin:
Hivi mtu mwenye akili sawa sawa atazini nje ya ndoa, kila anaye zini nje ya ndoa ni kichaa na kila anaye zini kabla ya ndoa ni kichaa:biggrin:Mkubwa wabembelezaji ni siye wenyewe unanyenyekea mpaka basi kisa upate kile kipenyo dah..............!
Basi dunia nzima vichaa na wendawazimu...............!:A S shade:
Kwani mimi najali kutukanwa na vichaa, matatizo yako wewe ni mzinifu ndo mana unaniona mimi kichaa:biggrin:Hizi akili za mbayuwayu uwe unachanganya na za kwako.
Sijakataa sababu wengine wameoa ndoa bada ya kusex na wengine mpaa wamezaa ndo wameowana, wangekuwa walijizuia toka mwanzo hawajasex nadhani wasinge toka nje ya ndoa.tema mate chini.kuna watu walijiamini 100%hawawezi kupata huo ugonjwa, kwa kujiona wapo ndani ya ndoa ambao kuna uaminifu. kwa sasa ni hiv positive.
Kelele za walevi zitaishai bar tu, sina wasi wasi na mke wangu na sidhani kama walevi wanaweza kufanya hata siku moja nisimuamini mke wangu...I love my wife andI'm proud to say it, namshukuru sana Mungu kwa kunipa mke niliye ridhika naye, nisipo mshukuru Mungu takuwa nimekufuru hapo :biggrin:waliooa ndo wako hatarini..jombaaa usitutishe tulioooa..couples kibao zinadanjwa kwa huyu mdudu..hata wewe mwenyewe unajua..kama mkeo analiwa nje?au wewe unamega nje..si wote munaleta mdudu..ndani..wote ngoma droo..wa kwenye..ndoa ndo mnarisk kubwa...amini hivyooo
nakupa pongezi kwa hilo mkuu..lakini asije tumia uaminifu kwako kama sababu...ya..kuanguka au udhaifu..ikiwa kivuli chako chenyewe hua kinapoteaga..sasa..nashangaa unaposema maneno hayo ya kumuamini binadamu mwenzio..lakini haya ni maneno tu hata kwenye kanga yapo..ova...Kelele za walevi zitaishai bar tu, sina wasi wasi na mke wangu na sidhani kama walevi wanaweza kufanya hata siku moja nisimuamini mke wangu...I love my wife andI'm proud to say it, namshukuru sana Mungu kwa kunipa mke niliye ridhika naye, nisipo mshukuru Mungu takuwa nimekufuru hapo :biggrin:
Siwezi kufanya ujinga huo condom zote zina chemical, lazima ni uthamini mwili wa wife wangu, nitacheza mchezo wa kawaida withdraw methord-pulling out:high5:
Ili uwe huru like a molecule in the air.
kondom ninazoziamini siku zote ni SALAMA tu!! haya ma-imported huwa siyakubali,,,pamoja na garama zake kuwa kubwa........pia kondom kama Dume nna kesi nao soon!!zinapasuka sijawahi ona....
bora mi situmii hivo vitu
Eti kanga we uandhani wote wameoa bar au barabarani :biggrin:nakupa pongezi kwa hilo mkuu..lakini asije tumia uaminifu kwako kama sababu...ya..kuanguka au udhaifu..ikiwa kivuli chako chenyewe hua kinapoteaga..sasa..nashangaa unaposema maneno hayo ya kumuamini binadamu mwenzio..lakini haya ni maneno tu hata kwenye kanga yapo..ova...
Hivi mtu mwenye akili sawa sawa atazini nje ya ndoa, kila anaye zini nje ya ndoa ni kichaa na kila anaye zini kabla ya ndoa ni kichaa:biggrin:
unastahili like mkuu maana kama mie na my wife tunatumia kalenda na withdraw kwenye danger zone na maisha ye2 yanaenda kama 2navyopanga. Wanaotumia izo vi2 (kwa wanandoa) they show sense of irresponsibility coz kama upo responsible u'll be able 2 trace all the moves u make. I've made it simple nimeweka table kalenda rum so all the days are countd and marked. Ni bora kwa kila mtu ajijali,ajithamini na pia amthamini mwenzie kwani dunia ni chafu na hizi kemikali zinatumaliza.
Kwani ukichaa lazima upige kelele na kurushia watu mawe:biggrin:Dah basi mie nshakuwaga kichaa siku nyingi tangu nasoma, maana nimezini kabla ya ndoa teh teh teh ...............:tape2: