Haina uhusiano na mambo yenu ya politics
Wengine hatuna time na siasa
nimezaliwa 12 October,wewe lini?:smile-big:Wewe tunaweza kuwa tumezaliwa siku moja. Namimi nilikuwa nataka kuuliza hivyo hivyo.
nimezaliwa 12 October,wewe lini?:smile-big:
Hata unayemjua!
Khaa!! Jini ni mwanamke na shetani ni mwanaume :glasses-nerdy:ni nini tofauti ya jini na shetani?
Kwa tarehe hii ukifanya bongoflava au bongomuvi labda utaweza kutoka :glasses-nerdy:Mmmh duh. Hatujazaliwa siku moja. Akili zetu tu zilifanana kwa dakika chache.
Nimezaliwa July 30.
ni nini tofauti ya jini na shetani?
hizi abrakadabra hizi, mara ooh ukikutana na mtu akikuuliza saa ngapi usimjibu kwani ukimjibu ghafla Rolex yako inatoweka...dah
Shetani ni mkuu wa ulimwengu wa giza ambaye ana watendaji kazi wake wengi sana kama majini, mapepo, vinyankera, n.k, majini yapo mengi sana kutokana na utendaji kazi wake mfano majini ya nuksi, magonjwa, umaskini, uvurugaji, ulevi, umalaya, uzinzi na vingi viovu unavyovifahamu..... Kama ilivyo katika ulimwengu wa mwanga kuna mungu, then malaika, ashakumu si matusi ila malaika twaweza wafananisha na majini ktk ulimwengu wa giza ila tofauti ni kwamba malaika wamebeba yaliyo mema/baraka na majini yamebeba yaliyo mabaya/laana. Kama kuna usichonielewa please karibu.ni nini tofauti ya jini na shetani?
Du...hapo sijui tunakaaje chonjo!!kutojibu tukiulizwa kitu au...nisaidie ninasafari ya kwenda kudepost