nzalendo
Platinum Member
- May 26, 2009
- 12,984
- 14,840
Hii imetokea jana baada ya watu wawili tofauti kupoteza kiasi kikubwa cha fedha mmoja alikuwa ana deposit NMB Kariakoo na mwingine CRDB Kariakoo,na wote kwa nyakati tofauti kabla ya kupoteza fedha hizo wanachokumbuka ni kuona mwanamke amejitanda baibui,wa NMB aliulizwa wapi naweza kubadili fedha za kiarabuu?
Hapo hapo akapoteza fahamu kuzinduka yuko mitaa ya kariakoo na hakumbuki kapoteza vp fedha. Wa CRDB nae aliulizwa kitu ambacho hakumbuki na pia kujikuta yuko nje ya benki.
Hii ni kwa kifupi Jumatatu kuna jamaa baada ya kulipwa fedha za kuleta mzigo Kariakoo alikutana na mwanamke mwenye baibui akamuuliza 'Uncle samahani hivi mawakala wa mpesa wako wapi?' Akajikuta yuko maeneo ya Jangwani na fedha zote za mzigo zimepotea.
Kaeni chonjo.
Hapo hapo akapoteza fahamu kuzinduka yuko mitaa ya kariakoo na hakumbuki kapoteza vp fedha. Wa CRDB nae aliulizwa kitu ambacho hakumbuki na pia kujikuta yuko nje ya benki.
Hii ni kwa kifupi Jumatatu kuna jamaa baada ya kulipwa fedha za kuleta mzigo Kariakoo alikutana na mwanamke mwenye baibui akamuuliza 'Uncle samahani hivi mawakala wa mpesa wako wapi?' Akajikuta yuko maeneo ya Jangwani na fedha zote za mzigo zimepotea.
Kaeni chonjo.