MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,092
- 7,235
Na wewe mbona huwa unatuletea imagination zako hapa.
Eti "malaki kwa malaki ya futi"
We ndo chenga balaa
Ahahaaaa.....
Na wewe mbona huwa unatuletea imagination zako hapa.
Eti "malaki kwa malaki ya futi"
We ndo chenga balaa
Uwiiiii.... halafu unajifunga lace nyeupe kunogesha mchezo
toa reference(retereture review)
Bora hata hilo, la rangi ya udongo nalo kiboko ha ha
kazi wanwake tunayo.. mashuka yangu lazima yawe na maua aisee hata kwa mbali
Retereture???
Acha ubishi....
Tandika rangi ya udongo
Hahahahah
hatare
ndio raha ya tanga mtoto anajua wajibu wake kwa mumewe,sio wale kule mdomo unanuka,hana sauti ya mahaba,mtu mgumu kama zege ukimuona anazungusha kiono utakimbia mana ni vita hivyo mwili mzima unazunguka
Wasungo ni hao watandika mashuka meusi na mekundu, mwanamke aliefundwa hana shuka jeusi
ndio raha ya tanga mtoto anajua wajibu wake kwa mumewe,sio wale kule mdomo unanuka,hana sauti ya mahaba,mtu mgumu kama zege ukimuona anazungusha kiono utakimbia mana ni vita hivyo mwili mzima unazunguka
Me too!sinaga shuka nyeusi,nachukia nyeusi
Mwanamke shuka nyeupe, pink, bluu bahari na zile zenye maua nyeusi hapana kwakweli na hakuna kungwi anayeweza toa somo kama hilo