Tafsiri ya rangi za shuka kitandani

Tafsiri ya rangi za shuka kitandani

Najikuta nacheka tu na nilikuwa na stress balaa kweli jamvi kiboko
 
ndio raha ya tanga mtoto anajua wajibu wake kwa mumewe,sio wale kule mdomo unanuka,hana sauti ya mahaba,mtu mgumu kama zege ukimuona anazungusha kiono utakimbia mana ni vita hivyo mwili mzima unazunguka
hahahahahahahhahaaaa
 
Naona mnaendeleza ubaguzi wa rangi hadi vitandani kuona nyeusi haifai duuh haya bhanaa
 
Hivi naanzaje kutandika shuka jeusi, kijani au zambarau.Ntatandika nnayopenda mimi maana atazipata kwa mdomo.
 
Ahahaaaa.....
avatar223968_3.gif

Mbona unanicheka mkuu MeinKempf
 
Last edited by a moderator:
Kumbe ukiwa period ndo siku za kupata mimba
Kumbe ndo maana dk mwaka ana wagonjwa hvo
Kila siku watu wakiwa period ndo watafuta watoto tanga
Muacheni dk mwaka afaid


Kumbe ndo sababu daaah!!
 
Back
Top Bottom