Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

tapatalk_1491291215817.jpeg
 
Wakati wa kupigwa hii picha hakuna aliyetegemea kuwa hawa wote watakuja kuwa marais wa Kenya ila kwenye ulimwengu wa roho na beyond human thinking capacity....hongera nimeipenda
Nimeona kitu MSHANA jr.... Katika picha hii, huyu aliyeinama na kushika MAGOTI (Mwai Kibaki)

Ndie Raisi aliye apishwa akiwa katika WHEEL CHAIR (Kiti cha kuvutwa na Magurudumu)

Kwa kuisoma picha hiyo utaona mengi yaliyo jificha kutoka kwa viongozi hao...
 
Habari kaka Mshana;

Hizo ni coincidence tu hazina uhusiano na nguvu wala miujiza yoyote kila jambo ni vile unavyolitazama mimi sikubaliani na wewe...

Kama picha ilipigwa zamani kivipi leo niione sawa wakati nyakati zinabadilika? ni lazima nione mabadiliko mengi tu kwa kua muda nao umepita ipo hivyo tu

Nikipiga picha leo na mbuzi wangu nyumbani baada ya miaka mitano yule mbuzi hatakuwepo labda amechinjwa au vyovyote na mimi pia nitakua pengine kama asili ya maisha ilivyo hakuna nguvu wala nini inayotumika hapa
Weka picha yako tukupe ama tukuambie siri nyuma ya pazia...
 
Mkuu mshana jr nakuomba ufute hii picha haraka sana, ni ya uongo. Imesambazea sana kwenye magroup... Huu ni uongo ajali ya Lucky Vincent haihusiani na hii familia tafadhali watendee haki..
Yeah right hata mimi niliona...mambo ya wasap gps ni uzishi uzushi tu..usipopima unaweza foward vitu sio..
 
Coincidence ni mtazamo wa kibinadamu kwenye ulimwengu wa roho kila kitu kiko pre-planned

So tunabishana hapa kuhusu hii statement ya Mungu amepanga hili i.mean hizi statement kuwa " ilishapangwa" je imepangwa na nani? Mungu au Shetani
Mi sidhani kuwa ni kitu kizuri kumsingizia Mungu kila jambo wakati hatuna uhakika.
 
Hatujui yajayo japo kwasasa imethibitika hao wawili walio upande mmoja na rangi za nguo zinazokaribia kufanana 'inasemekana' ni wasaliti
Mkuu mshara hapo kwenye usaliti siku zote nitamtetea mzee wetu Slaa. Huwezi kuwa msaliti kwa kusimamia ukweli na misingi ya taasisi yoyote, nadhani wasaliti wanajulikana vyema....
 
Nimegundua hili somo ni gumu hasa kwa wale ambao ufahamu wao ni mdogo kwenye ulimwengu wa roho (silawaumu) lakini pia wale ambao wana mzio na post zangu..wao daima hawana hoja bali kukosoa bila ithibati! Siwalaumu kwakuwa chuki ni sehemu ya mwanadamu hasa akiwa na akili finyu

Mshana jr unacheka post yako mwenyewe!
"Kiroho" haijakaa vizuri kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom