makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 3,761
- 3,019
asante...nimekuelewaNi kwa vile ufahamu wako umechagua kimoja na kuacha kingine
asante...nimekuelewaNi kwa vile ufahamu wako umechagua kimoja na kuacha kingine
You can tell a lot from their body language....Mwenyekiti kama kalegea vile na jamaa kakazaPicha zinaongea View attachment 474241View attachment 474242
Mtu mzito alifanyajeWakati Mshana Jr alipokuwa anaandika Mambo yanayohusu Uwepo wa uchawi na Ushirikina Bongo lala na wakurupukaji wote wakawa wanatokwa povu Mtu kitu hakielewi badala yakutulia aelewe analeta ubishi wakijinga Sasa kule aliibuka jamaa 1anaitwa Mtu mzito yule jamaa hakubakisha kitu ..Viwavi wote waliukimbia ule Uzi...nikawaida bongolala kujifanya wajuaji kumbe upuuzi tu
Naomba unitag piaNi sect ya satanism hiyo kitu sikushauri uendelee nayo ila kwa faida ya wengi nitaiandikia mada kamili
kabisaaaPicha zinasemaView attachment 474269
Hii ya kulogwa ukimwi, ilishampata jirani yetu, na sasa hivi yupo fit sana.Hili nimesha wahi liona kwangu kali ni jamaa kuwekwa kwenye sanduku (jeneza) akisubiri kuzikwa ila ni kwa njia ya kishirikina
Ikawa mziki kumrudisha duniani jamaa anakimbilia uvunguni nkasema dunia ina watu
Nyingine ni kulogwa ukimwi,na vipimo kuthibitisha jamaa anao baada ya tiba ukimwi ukapotea
Kama ni kweli wamefungwa basi naamini maneno ya mshana Jr angalia hao jamaa kwenye picha wamevaa Viatu vya kike afu wote wametanguliza mbele mguu wa kushoto na wametazama sehem mojaView attachment 394093 hawa jamaa wote wamefungwa kwa makosa tofauti
Picha zinasemaView attachment 474269