ImeelewekaWakati wa kupigwa hii picha hakuna aliyetegemea kuwa hawa wote watakuja kuwa marais wa Kenya ila kwenye ulimwengu wa roho na beyond human thinking capacity....hongera nimeipenda
Kolomije FCPicha zinaongea # Mshana jr #
Hapo nakubali kabisaaa
Mshana Jr, helpNaomba unisaidie hapa. Mimi Huwa napenda kupiga picha na watoto. Pia kukaa nao na kuwaongelesha. Mimi nina 29 miaka
Ni upendo wa kawaida na hobby lakini Kama una picha za nyuma ulizowahi kupiga kama miaka 5 nyuma Jaribu kuzipitia upyaMshana Jr, help
Mmh Mshana Jr huwa una vitu adimu sana mkuu,yaani huwa makala zako zinanipa fikra mpya sana,mkuu inaonyesha sources yako ya habari si ya kawaida,unasoma vitu adimu sana,nilianza kukugundua kwenye mada yako inahusu jicho la tatu,ahsante sana mkuu
utakua unamaanisha wa kule kwa mbele wanakalibia kwisha?View attachment 390631Hakika picha zinaongea, hii ina picha ndani ya picha......akhsante mkuu Mshana
Mwambie aacha porojo. Tunataka vyeti vya daudi mezani asitubadilishie topic.Picha zinaongea View attachment 474241View attachment 474242
yaan unaona kabisa kwamba hao hapo ote ni wasanii wa kutupwa.Picha zinaongea View attachment 474241View attachment 474242
Picha zinasemaView attachment 474269