MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Hahahah BAbu kwa jinsi mkoloni alivyonitenda weekend hii.... leo atanitambua naleta na godoro kabisa hapa JF. Na asinisemeshe...............................:frusty::frusty::frusty:
Hahahah BAbu kwa jinsi mkoloni alivyonitenda weekend hii.... leo atanitambua naleta na godoro kabisa hapa JF. Na asinisemeshe...............................:frusty::frusty::frusty:
Jifunzeni kubembeleza kina kaka. Wanawake wanalainishwa kwa kubembelezwa. Huweziamini bembelezo dogo tu tena la kijinga mfano " Mama flani unajua leo nimeshindwa kufanya kazi kabisa... yaani nimekukumbuka sana mpenzi wangu (hata kama ni uongo) umemaliza mchezo utashangaa anasimama mwenyewe hata kama alikuwa katinga jeans taratibu anafungia mkanda huku akikurembulia macho. Kina kaka hamuhitaji nguvu kabsa. Mnajua nini MUNGU alishasema kwa jasho lenu mtakula sasa kama kula kwenu na familia yenu inabidi mtumie nguvu, ingekuwaje na kuipata hii huduma tuwafanye mtumie nguvu?? Hapana tungekuwa tunawaonea. Its just that wengi hawapendi kuielewa nguvu ya kubembeleza kwa mwanamke.
(Samahanini leo nimekunywa valuu badala ya Mountain Dew)
Ukidaiwa cha ziada usijentaka ushauri.......lol mi cmo!Karibu Teamo...
MJ1 ametoa somo tamu sana aisee... nimeandaa practice session ya siku tano mkuu, nikifaulu najipa cheti
hivi jamaa alimega Jumamosi?:A S 39::thumb:
Am glad I have made your monday morning Babu yangu........ I hope nimekuzuilia wrinkle yako moja kwa kukuchekesha.Kweli babu nimezaa, na mwanangu naye akazaa.:thumb::thumb::thumb::amen::amen::amen:
Tatizo kaka kunta wengine wanatumia nguvu zaidi kuvua than nyama ya ulimi... mimi ukinijia na (ofcouse kama niko in good terms na mwandani hahitaji hii maana the moment anaingia nyumbani anakuwa tayari ashajua kuwa leo ana overtime) hii " dia leo kuna joto ngoja nikusaidie kutoa hii nightie.... au mpenzi nimeoteshwa kuwa unawashwa mgongoni ngoja nikukune taratibu" Hayo yanasemwa kwa sauti ya upole na macho ya kubembeleza (msifikiri kuwa ni wanawake tu wanatakiwa kulegeza sauti na kurembua macho- mwanaume kulegeza sauti kunahusisha na kuongelea kooni yani unaitunisha kisex na macho unayafanya yatizame kitaratibu kama unamwonea huruma vile )... sio unakomalia "vua basi hilyo jinite dress lako" SIVUI tena na appetite inakimbia kabisa.
Jifunzeni kubembeleza kina kaka. Wanawake wanalainishwa kwa kubembelezwa. Huweziamini bembelezo dogo tu tena la kijinga mfano " Mama flani unajua leo nimeshindwa kufanya kazi kabisa... yaani nimekukumbuka sana mpenzi wangu (hata kama ni uongo) umemaliza mchezo utashangaa anasimama mwenyewe hata kama alikuwa katinga jeans taratibu anafungia mkanda huku akikurembulia macho. Kina kaka hamuhitaji nguvu kabsa. Mnajua nini MUNGU alishasema kwa jasho lenu mtakula sasa kama kula kwenu na familia yenu inabidi mtumie nguvu, ingekuwaje na kuipata hii huduma tuwafanye mtumie nguvu?? Hapana tungekuwa tunawaonea. Its just that wengi hawapendi kuielewa nguvu ya kubembeleza kwa mwanamke.
Na nyie kina dada wenzangu mh nawashauri msijivunge mwenzangu siku una kiu jiandae!! kama ni binti wa kiafrica mwenye wingi wa soni wala huna haja ya kutamka wala nini (Rose 1980 utanisaidia hapa maana we ni wale wa zama hizo)... bibi jipure bibie, jiweke kiutayari na ni haki yako ukiionea soni hakuna wa kukupigia filimbi kuwa ni zamu yako. Mwenzio siku akiwa kabanwa anasema na kutenda anajifaidia na kumaliza we ukiona haya shauri yako watoto wa mjini wanasema IMEKULA KWAKO. Zamu waitengeneza mwenyewe yaani ukiijulia wala hutakuwa na malalamiko kuwa leo umenyimwa leo wala kuwa wapewa kwa mafungu ka fungu za bamia sokoni leo zipo kesho hazichakomaa (kwa wale walaji wa bamia mtanielewa Bamia huchumwa siku moja, inayofuata unaachwa zikomae) Bidada tumia haiba yako ati... umejaaliwa macho yatumie, umejaliwa jikalio bidada litumie kwani wadhani khanga za India zinatengenezwa kimakosa bibi? kuwa hazina kwaliti ndo mana nyepesi?? La hasha ndani kuna siri ati ah jivalie dada tenda ah (mataulo yametengenezwa kwa ajili ya beach na kina kaka bidada yako khanga ya India )................jipitishe data tena ukizungusha kigudi si kwamba wamfanyia kumfurahisha yeye la hasha na wewe unayoshare ya enjoyment kwenye shindano hilo ......ahaaaa
(Samahanini leo nimekunywa valuu badala ya Mountain Dew)
Valuu zilikuwa zimeisha dukani akashindwa nikaponyeka lol
Hahahah BAbu kwa jinsi mkoloni alivyonitenda weekend hii.... leo atanitambua naleta na godoro kabisa hapa JF. Na asinisemeshe...............................
Mimi babuyo, leo nakuwa msikilizaji tu. We mwaga mboga, ikifika zamu yangu namwaga ugali.Am glad I have made your monday morning Babu yangu........ I hope nimekuzuilia wrinkle yako moja kwa kukuchekesha.
Umesahau Babu nimezaliwa kisimani ambapo kina mama wanapiga soga, nikakulia sokoni na ninazeekea kilabuni...... ntakosaje soga?
ha ha ha ha!
...na hapo je? ...khanga ya India haivaliki!
Picha ya kwanza ni ya majuto...regretting she is married to that monster....
Picha ya jamaa kalikoroga anajaribu kurekebisha hali kwa kubembeleza....
haha!..nilijua tu, actually nilikuwa nashangaa mpaka muda huu hujachangia kitu hapa :thumb:
hahahahha hapa itavaliwa ya Congo.. mkaka asimame aliwa mtupu atembee chumba kizima akijipitisha pitisha huku akimtikisa tikisa mhshmiwa.... kitaeleweka tu! Hahahaha mi ctaki
...na hapo je? ...khanga ya India haivaliki!
Ha ha ha sisy............. ila mwenzetu una bahati maana kwa wengine ukimtikisia kiberiti siku ya kwanza itakula kwako maana waweza'nyimwa' wiki nzima.kwa kweli, pweeehh....bora kuna ukuta! mie hiyo mbona naifanyaga sana tu....mpaka kieleweke bwana.