Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
- Thread starter
- #21
dada ana mawazo makali sana kwani jamaa amelala kabla hawajasolve tatizo linalowakabili,kumwamsha anashindwa matokeo yake hapati usingizi kichwa kimetawaliwa na mawazo:embarrassed1:
...upo deep sana, duuuhhh!
Mpaka umenihuzunisha. Yeah, you might be right.
Ila kimtizamo huoni kuwa Mwanaume ame face 'a challenge' wakati Mw'mke ametoa mgongo?