lushalila
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 282
- 109
Wanajamvi naomba mwenye kujua anijuze kwa kiingereza kile kitu ambacho huwa kinaning'inia mwishoni mwa mkungu wa ndizi, ni cha rangi ya damu ya mzee ,mara nyingi baada ya ndizi kuchanua chane zake vizuri hukatwa.
Kwa wakazi wa mkoa wa Kagera huita ’’endilalila‘‘
Kwa wakazi wa mkoa wa Kagera huita ’’endilalila‘‘