Udumbe Lukombeso
New Member
- Dec 3, 2016
- 3
- 2
Musa spp, banana bunch
Okjamani sio wabukoba tu, hata kwa kiwahili basi hii kitu nataka kuifahamu.
Kumbe tupo wengi!!Engaulaulaa kikwetu![]()
Kichaga ch a home tunakiitaga "songaa" hua kuna vinyonyo vyake vikidondokaga tunavinyonya ndani vipo kama vimakamasi fulani yaani ni vitam balaa viasali vyake !Wanajamvi naomba mwenye kujua anijuze kwa kiingereza kile kitu ambacho huwa kinaning'inia mwishoni mwa mkungu wa ndizi, ni cha rangi ya damu ya mzee ,mara nyingi baada ya ndizi kuchanua chane zake vizuri hukatwa.
Kwa wakazi wa mkoa wa Kagera huita ’’endilalila‘‘

Mkuu hiyo umetunga wewe mwenyewe hata kwenye dictionary halipoAisee labda banana red head