Tafakuri ya Kikwete

Tafakuri ya Kikwete

Atleast umeweka rekodi vizuri. JK alikuwa ......... tu kwenye eneo la kusimamia nidhamu kwa watumishi na eneo la Rushwa na ufisadi. Kinyume na hapo tungekuwa mbali kimaendeleo
Anajua siasa, na alikuwa anajua atendalo. Kuongoza watu ambao walishaharibika tangua enzi za wengine ni kazi sana. Inataka hekima na busara kumaliza muda wako salama.
Kwani ''huyu'' yeye ni msafi sana au?
INnawezekana alivumiliwa sana?
Kama ''jamaa'' angekuw mkali, na yeye saa hivi si angekuwa mteja wa wengine.

BUSARA NA HEKIMA hutoka kwa Mweznyezi Mungu.
 
Mshana unajua kipindi hiki ukitaka cheo na ukuu wa mkoa basi wewe sifia tu. Hata kama ni mataputapu tupia neno akikuona atakuzawadia stahili yako. Ni hvyo tu!
 
yule aliyewatesa na kuwaua watu wale na anayefanya hivyo sasa ni watu wabaya na tatizo kubwa ni mfumo unaowalinda watu hawa. wote ni mashetani na hakuna mwenye unafuu. tuchukie uovu kwa nyakati zote. kikwete hakuwahi kuwa na hizo ambazo leo watu wanasema ni busara. sikuwahi kuona hizo busara kwa uharibifu uliofanyika kwa mali za watanzania. watanzania wangapi walikufa kwa kukosa madawa wakati kuna watu wanagawana pesa za escrow?za richmond?iptl? mchakato wa katiba wa kihuni kupata kutokea? watanzania ni wasahaulifu sana.visasi chuki vilikuwepo hata wakati wa kikwete na huko ndiko vilikoanzia. trust me akija mwingine miaka hiyo ijayo magufuli ataonekana alikuwa mtu mwema. na hapa ndipo ninapochanganyikiwa na wakosoaji wetu.
Na yule wa ARVs feki si ni zao la JK?
 
see.... huyu ameua watu wangapi ambao walikunywa zile dawa wakitumaini kusogeza siku zao mbele? but this person utasikia yupo free... haya mambo tunatakiwa tupambane na mfumo unaowapa watu nafasi ya kutuua bila kushtakiwa. mfumo unaowapa watu U mungu mtu. huu mfumo ukiondolewa ndipo tanzania itaendelea na kutakuwa na demokrasia ya kweli. kwa sasa no way. ccm ni ile ile... ile ile hata after 100 years it wont change.sababu ipo kulinda chama na maslahi ya wachache.

Na yule wa ARVs feki si ni zao la JK?
 
Umeona mbali sna kikwete alikuwa zaidi ya kiongozi zaidi ya Baba ktk maisha hkn kitu kigumu km kuvumilia kuelezwa mapungufu yko wakt ww ndio una power na usitumie power yko kumuazibu anae kueleza ukweli maana binadam tumeubwa kuchukia ukweli...
Naye Ni muuaji tu siyo wakusifiwa kabisa. Utauzaje gesi yetu Yani hela yote jamaa Anna kula. Kila siku anapokea mgao wa 400. Sizonje aliposema akiamua kufukua makuburii.

Ni muuaji kuliko madabida
 
Siasa si mabavu, siasa ni kucheza na akili za watu bila ya kutumia nguvu, nadhani sasa imefika wakati wa kuwa kiongozi mkuu wa serikali asiwe ndiye mwenyekiti wa chama cha siasa. Kwani kwa mfumo huu tuliyokuwa nao demokrasia ya kweli haitakuwepo, tujaribu kutenganisha vitu hivi viwili.
 
Wataje ukifikisha 10 waliopigwa risasi na kuuwawa na waliojeruhiwa na waliopotea ukijumlisha na waliotekwa awamu hii nakupa Jero ya vocha usitukane we shusha tu majina alafu reply me ntajua kweli upo serious acheni mambo ya kihuni fanyeni maisha mambo tafuteni maisha acheni siasa za vijiweni
(1) Ben saanane yukowapi?

(2) Wanaoopolewa na wavuvi kwa mafungu unawajua?

(3) waliovamia msikitini lufiji na kutwanga watu risasi usiku wa manane unawajua?

(4) waliommiminia risasi Risu hadi leo vyombo vya usalama havina hata tetesi unawajua?

(5) waliouwa mbwa wa nasari unawajua ?na je asingefuga mbwa waaminifu?

(6) waliookotwa mto ruvu kwenye masandalusi unawajua?

(7) mwandishi aliepotea juzi kibiti unamjua alipo?

(8) waliemteka Msanii Roma na kumtesa unawajua?

(9) waliochoma moto vifaranga unawajua?

(10) walieng'oa mazao kwenye shamba la mbowe unawajua?

(11) waliobomia nyumba kiholela hadi kupelekea watu wanakufa na kupalalaizi unawajua?



(4)
 
Naye Ni muuaji tu siyo wakusifiwa kabisa. Utauzaje gesi yetu Yani hela yote jamaa Anna kula. Kila siku anapokea mgao wa 400. Sizonje aliposema akiamua kufukua makuburii.

Ni muuaji kuliko madabida
Soma vizuri jamaa alikuwa anazungumzia utu. khs rushwa ilo ni swala lingine Africa viongozi wetu wote wala rushwa wapo kwa ajiri ya mtumbo yao na familia zao Rudi kwenye ujenzi kiwanja chato Rudi kwenye ile meli mali ya jeshi kwa sasa Rudi usanii wa kila siku bandarini...
 
hizi mboko anazowapiga Magu si za nji hii!

Mkuu usiumie sana, hata hivyo wewe endelea kusheherekea ujio wa kamanda mpya bwana nyalandu
Akina nani hao wanaopigwa hizo unazoita mboko? tufafanulie hapo.
 
Anajua siasa, na alikuwa anajua atendalo. Kuongoza watu ambao walishaharibika tangua enzi za wengine ni kazi sana. Inataka hekima na busara kumaliza muda wako salama.
Kwani ''huyu'' yeye ni msafi sana au?
INnawezekana alivumiliwa sana?
Kama ''jamaa'' angekuw mkali, na yeye saa hivi si angekuwa mteja wa wengine.

BUSARA NA HEKIMA hutoka kwa Mweznyezi Mungu.

Sikuelewei hata! Busara kwenye kuongoza yes! Lakini Busara kwa mwezi na mla rushwa??
Hakuna aliyesema aliyepo na msafi kila mmoja na uchafu wake!
 
Sikuelewei hata! Busara kwenye kuongoza yes! Lakini Busara kwa mwezi na mla rushwa??
Hakuna aliyesema aliyepo na msafi kila mmoja na uchafu wake!
Inategemea umri wako, exposure yako, elimu yako, makuzi yako, nk katika kufahamu mambo. Sikulazimishi kukubali ninachoandika.
 
wa kweli JK, ukimlinganisha na huyu was sasa, kwa hekima na busara, ni opposites! Mbali mbali kama mashariki na magharibi

Je ilikuwa hekima na busara kuwalea wauza madawa ya kulevya? Jakaya alikuwa na ukaribu na wafanya biashara hiyo kwani wengine walikuwa contributors wakubwa wa ccm na wabia wake katika biashara zao!! Angewezaje kuwahukumu? JPM ana hekima na utu na ndio maana ametoa msamaha kwa wafungwa wakiwemo wakina Babu Sea na sio hivyo tu ameweza kuithibiti biashara ya madawa ya kulevya iliyokuwa inawaharibu vijana kwa kiwango kikubwa sana; toka ameingia madarakani hatujasikia kesi za vijana kukamatwa huko ughaibuni wakifanya biashara ya mihadharati!!! Mnyongeni JPM lakini haki yake mpeni.
 
Inategemea umri wako, exposure yako, elimu yako, makuzi yako, nk katika kufahamu mambo. Sikulazimishi kukubali ninachoandika.

Wala huna haja ya kuwaza kunilazimisha ! Ndiyo maana naweza kusema ninachowaza nawe ukapata kupima kama wa umri gani,Exposure gani,Elimu gani,Makuzi gani nk!.
Ila tu Busara iliyolala chini ya ngozi ya kichwa bila kutumika ili hali mambo yanakwenda kombo ni ugonjwa kama magonjwa mengine ya kibinadamu!
 
Back
Top Bottom