Tafakuri ya Kikwete

Tafakuri ya Kikwete

Kaka yangu mshana umekuwa hopeless hivyo

Bora ungebakia kupiga ramli tu haya mengine achana nayo
 
Umeona mbali sna kikwete alikuwa zaidi ya kiongozi zaidi ya Baba ktk maisha hkn kitu kigumu km kuvumilia kuelezwa mapungufu yko wakt ww ndio una power na usitumie power yko kumuazibu anae kueleza ukweli maana binadam tumeubwa kuchukia ukweli...
MKUU KATIKA HILI KILA MWENYE MAMLAKA AKAJIFUNZE KWA MH.KIKWETE.
 
Kaka yangu mshana umekuwa hopeless hivyo

Bora ungebakia kupiga ramli tu haya mengine achana nayo
Nikishakuwa kaka yako siwezi kuwa hopeless labda unibadilishie title.... By the way umeniita hopeless kitu ambacho ni mtazamo wako na sina tatizo kabisa na hilo.... Sasa hebu nijibu kwa hoja ukionyesha huo u hopeless! Ukishindwa basi wewe ndio utakuwa zaidi ya hopeless
 
Baada ya vyuma kukaza sana, hatimae waja wa mungu waanza kumkumbuka dereva mstaafu.
 
Baada ya vyuma kukaza sana, hatimae waja wa mungu waanza kumkumbuka dereva mstaafu.
IMG-20171211-WA0044.jpg
 
Naona uko kwenye kichwa cha JK!

hahahhaaahaha... Bavicha mna hali mbaya kweli!

Ni bora kuitwa BAVICHA kwa maana umeusemea moyo na huo ndiyo uzalendo,kwenye nyeupe weka nyeupe na kwenye nyeusi weka nyeusi.Kikwete ana madhaifu yake lakini kwa BUSARA amemzidi sana Mwenyekiti wenu wa awamu ya TANO
 
Umepaelewa pale nilipoandika tafakuri ya Kikwete kwa mtazamo wangu?

Tatizo la wanaCCM wanapenda kusifu na kutukuza tu,ndiyo ahwa waliomsifu JK enzi zake mpaka JK akaona taabu lakini nafikiria leo JK anashangaa wale waliomshangilia na kumpa big up ndiyo wale leo wanaomtukana matusi yote.Hakika anaona bora upinzani uliomzodoa pale pale yakaisha kuliko hawa wanafiki wapiga makofi mwisho wa kipindi wanakutukana mpaka basi.
 
Tatizo la wanaCCM wanapenda kusifu na kutukuza tu,ndiyo ahwa waliomsifu JK enzi zake mpaka JK akaona taabu lakini nafikiria leo JK anashangaa wale waliomshangilia na kumpa big up ndiyo wale leo wanaomtukana matusi yote.Hakika anaona bora upinzani uliomzodoa pale pale yakaisha kuliko hawa wanafiki wapiga makofi mwisho wa kipindi wanakutukana mpaka basi.
Sometimes wanachosha kweli hawa wadudu sijui wamelishwa nini?
 
Miezi michache iliyopita kukawa na amsha amsha kubwa sana ya vita dhidi ya madawa ya kulevya... Vita ikaishia njiani kwa aibu kubwa baada ya kubainika kinara wa mapambano hayo alikuwa na agenda zake binafsi na alifaidika kwa hali na mali... Kama ni kitanzi kilipaswa kianzie kwa huyu bwana... Ile haikuwa vita bali geresha....!!!!
Paskali Kikwete hakutaka kunuka damu... Hakutaka kumwaga damu isiyo ha hatia.. Huku damu yenye hatia ikiendelea kutamba na kutamalaki....

Walioidhinishwa kunyongwa ni wa wa awamu zilizopita! Je awamu hii sisi hatuna????

hujajua. hujajua mshana.
 
mshana jr hatuwezi sema kikwete was good sababu sasa hivi tuna magufuli ambaye hatukubaliani naye. it is wrong na ndo hapo kwa upande wa wapinzani wanaonekana kuwa wanaendesha siasa kwa mihemko na matukio. mnamkumbuka mwangosi?mnamkumbuka dr ulimboka? dr mvungi?ab kibanda kumwagiwa tindikali?kubenea? mimi nakumbuka. nakumbuka hya mambo yalitokeaje na nini kilikuja kutokea baadaye. aliyemhusika na mauaji ya mwangosi alipata adhabu gani? alipandishwa cheo. aliye taka kumuua dr ulimboka alikuwa wapi ?kwa maelezo ya kubenea ni mtu wa ikulu. nini kilifanyika? haya mambo kuna watu wanakosea sana kuanza kumsafisha kikwete hivi sasa kwa uovu alioufanya simply kwa sababu kuna maguful. mi nlidhani tunapaswa kukemea uovu uliopita,uliopo na ujao. huo ni mtizamo wangu.
 
mshana jr hatuwezi sema kikwete was good sababu sasa hivi tuna magufuli ambaye hatukubaliani naye. it is wrong na ndo hapo kwa upande wa wapinzani wanaonekana kuwa wanaendesha siasa kwa mihemko na matukio. mnamkumbuka mwangosi?mnamkumbuka dr ulimboka? dr mvungi?ab kibanda kumwagiwa tindikali?kubenea? mimi nakumbuka. nakumbuka hya mambo yalitokeaje na nini kilikuja kutokea baadaye. aliyemhusika na mauaji ya mwangosi alipata adhabu gani? alipandishwa cheo. aliye taka kumuua dr ulimboka alikuwa wapi ?kwa maelezo ya kubenea ni mtu wa ikulu. nini kilifanyika? haya mambo kuna watu wanakosea sana kuanza kumsafisha kikwete hivi sasa kwa uovu alioufanya simply kwa sababu kuna maguful. mi nlidhani tunapaswa kukemea uovu uliopita,uliopo na ujao. huo ni mtizamo wangu.
Nimelizungumzia hili ndani ya mada kuu,labda tu kwakuwa sikutoa mifano dhahiri kama wewe
 
yule aliyewatesa na kuwaua watu wale na anayefanya hivyo sasa ni watu wabaya na tatizo kubwa ni mfumo unaowalinda watu hawa. wote ni mashetani na hakuna mwenye unafuu. tuchukie uovu kwa nyakati zote. kikwete hakuwahi kuwa na hizo ambazo leo watu wanasema ni busara. sikuwahi kuona hizo busara kwa uharibifu uliofanyika kwa mali za watanzania. watanzania wangapi walikufa kwa kukosa madawa wakati kuna watu wanagawana pesa za escrow?za richmond?iptl? mchakato wa katiba wa kihuni kupata kutokea? watanzania ni wasahaulifu sana.visasi chuki vilikuwepo hata wakati wa kikwete na huko ndiko vilikoanzia. trust me akija mwingine miaka hiyo ijayo magufuli ataonekana alikuwa mtu mwema. na hapa ndipo ninapochanganyikiwa na wakosoaji wetu.

Nimelizungumzia hili ndani ya mada kuu,labda tu kwakuwa sikutoa mifano dhahiri kama wewe
 
Paskali msameheni bure, hajielewi. Labda anautaka u dc, me nilimwambia angeweza kuchambua na kumsifu mtu bila kumdhihaki mwingine. Mtu hawezi kuongoza taifa kubwa km tz kwa miaka 10 na chaguzi zote kashinda umuite dhaifu, kila mwanadamu ana strength na weakness zake. Inawezekana udhaifu wa magufuli ndo zikawa strength kwa Kikwete. Kikwete aliweza kuvumilia upinzani, akaruhusu watu kuzungumza, kuandika na kuwepo kwa upinzani. Ww unaona ni udhaifu huo, kikwete alikuwa anajiamini sana. mf. Ukimkataza mkeo kutumia simu ya mkononi, watu watakutasfiri ww ni jasiri au dhaifu? Paskal ni low thinker sana. Maraisi wengi afrika wanajikuta wanaua watu hovyo kwasababu ya hofu na woga mioyoni mwao.
 
Kikwete alikuwa na busara,mstahimilivu na muungwana. Ni wangapi wamepotea awamu hii bila miili yao kuonekana? Ni wangapi wamepigwa risasi kwa kuonesha udhaifu kwenye taasisi za serikali!? Ni wangapi wameuawa kwa kujeruhiwa na risasi za polisi kabla hawafikishwa mahakamani kutekeleza agizo lakunyang'anya silaha? Ni wangapi wako magerezani kwa kutekeleza haki yao ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa,kutoa maoni na kukutana?

Mdhaifu ni yule anayetumia nguvu pasipo busara na akili huku yeye akiwa baba wa familia. Akigawa familia kwa misingi ya kikanda, kidini,kisiasa na kiitikadi. Asiyejua nafasi yake kwa familia kwa kuficha ukweli na kutokuwa na uhakika na ukigeu geu kwa kile anachosema na kutenda. Wapi wenye vyeti feki!?Wakati Bashite analindwa huku kukiwa na tuhuma za wazi za kutumia cheti kisicho chake.
Una mashetani wewe, wangapi wameuliwa na kuteswa enzi za Kikwete.
Hamkuwa mnamshambulia Kikwete ni mdini. Bavicha na chama chenu ndio sera mmebakiwa nazo hizi, sera za kipuuzi na uwongo, alafu mje kulia mmeibiwa kura.
Hovyo kabisa
 
Kuacha kusaini hati ile ya kifo ilikuwa na maana yake kubwa sana nyuma ya pazia....!!!! Nampongeza Kikwete kwenye hili pamoja na udhaifu wake wote....
Miezi michache iliyopita kukawa na amsha amsha kubwa sana ya vita dhidi ya madawa ya kulevya... Vita ikaishia njiani kwa aibu kubwa baada ya kubainika kinara wa mapambano hayo alikuwa na agenda zake binafsi na alifaidika kwa hali na mali... Kama ni kitanzi kilipaswa kianzie kwa huyu bwana... Ile haikuwa vita bali geresha....!!!!
Paskali Kikwete hakutaka kunuka damu... Hakutaka kumwaga damu isiyo ha hatia.. Huku damu yenye hatia ikiendelea kutamba na kutamalaki....
Walioidhinishwa kunyongwa ni wa wa awamu zilizopita! Je awamu hii sisi hatuna????


Atleast umeweka rekodi vizuri. JK alikuwa ......... tu kwenye eneo la kusimamia nidhamu kwa watumishi na eneo la Rushwa na ufisadi. Kinyume na hapo tungekuwa mbali kimaendeleo
 
JK ALIKUWA KIONGOZI WA KAWAIDA MNO ILA UKIMLINGANISHA NA HUYU MPYA BS JK NI BORA.

KWANGU MIMI RAIS BORA NI NYERERE TU.
 
Namnukuu Paskali.... "Kikwete alikuwa dhaifu sana ndio maana hakutaka wanyongwe.... " Sikubaliani kwa asilimia zote na Paskali.... Ni kweli JK alikuwa dhaifu!? Lenient! Lakini kwa ishu ya kunyongwa aliongozwa na tafakuri na mtazamo binafsi wenye kuacha maswali yenye majibu ya wazi kabisa...
Kikwete hakutokea porini mpaka kuupata urais hata Mkapa Mwinyi .... Ni watu waliokulia kwenye system, kwenye chama... Maisha yao kwa sehemu kubwa yalikuwa siasa... Walifanya siasa tangu wakiwa vijana.. Hawa hawakusukumiziwa urais, hawakuwa wanajaribu bali walikuwa ni wanasiasa walioiva...
Sipingani na hoja ya kuwanyonga waliokamatwa na madawa ya kulevya... Napingana na Paskali kwa kumuita JK dhaifu kwenye hili.... Mnyonge mnyongenj lakini haki yake mpeni....
Tafakuri ya kikwete kwa mtazamo wangu ni hii.... Hakutaka kutoa idhini ya kunyonga... Hii ni official hata kama PENGINE kwenye shughuli za kisiasa na uongozi wa nchi kuna watu walikufa kupitia yeye, lakini akikiangalia chama akiiangalia serikali aliona wazi kabisa kuna watu wabaya zaidi waliojificha kwenye koti la ngozi ya kondoo waliofanya mabaya zaidi kuliko hao vijana waliokamatwa ambao hata hivyo hawajui zaidi ya kutumika kama punda huku wazungu wa unga wenyewe wakiachwa salama salimini....
Tafakuri ya kikwete ni hii... Tazama kama yule kiongozi mkubwa kabisa ndani ya jumuiya ya chama aliyeaminiwa kutengeneza dawa za kupunguza makali ya ukimwi., lakini ndugu yule kwa kukosa UTU, kwa kukosa UZALENDO kwa kukosa HEKIMA, AKILI na WELEDI na ukizingatia analipwa pesa nzuri tu kwa kazi ile akaamua kutengeneza dawa bandia.. Huu ni zaidi ya uuaji, huu ni zaidi ya uhujumu uchumi.. Huu ni sawa na uhaini... Dawa zile zingeuzwa nje ya nchi na zikakamatwa tungeweka wapi nyuso zetu kama TAIFA? lakini Je dawa zile bandia zimeteketeza roho ngapi zilizokuwa na matumaini makubwa ya kupata nafuu huku wakiamini wanakunywa dawa sahihi?
Uuaji na ukatili huu mkubwa haujaonekana wameonekana vijana wetu, jiulize ndani ya chama na serikali kuna wenye madaraka wangapi wamefanya madudu ya kutisha yaliyoangamiza roho nyingi? Kikwete aliyafahamu yote haya... Kuacha kusaini hati ile ya kifo ilikuwa na maana yake kubwa sana nyuma ya pazia....!!!! Nampongeza Kikwete kwenye hili pamoja na udhaifu wake wote....
Miezi michache iliyopita kukawa na amsha amsha kubwa sana ya vita dhidi ya madawa ya kulevya... Vita ikaishia njiani kwa aibu kubwa baada ya kubainika kinara wa mapambano hayo alikuwa na agenda zake binafsi na alifaidika kwa hali na mali... Kama ni kitanzi kilipaswa kianzie kwa huyu bwana... Ile haikuwa vita bali geresha....!!!!
Paskali Kikwete hakutaka kunuka damu... Hakutaka kumwaga damu isiyo ha hatia.. Huku damu yenye hatia ikiendelea kutamba na kutamalaki....
Walioidhinishwa kunyongwa ni wa wa awamu zilizopita! Je awamu hii sisi hatuna????
MKuu Mshana,
hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama unafiki, mnafiki hata tofauti na mchawi.
Moyo wa mnafiki huwa hautulii sehemu moja, hupenda kuangalia upande wenye faida.
Mnafiki ni sawa na Bendera, hauna uwezo wa kupambana na upepo.
Pascal anatambua ukweli, naamini anaufahamu vizuri sana. Ila sijui kinachomponza ni unafiki au nini.
Tangu yule jamaa liposema '.....hili jina maana ya NJAA.......'', Pascal haeleweki abisa siku hivi.
Ila wenye akili tunafahamu, asipojipendekeza sio tu kwamba hatopata AIRTIME kwenye TV bali pia hatopewa kazi za serikali.
HONGERA brother PASKALI kwa kujitambua.
Endeleza tabia ya kinyonga, ili watoto wasishindwe kwenda maliwatoni.
 
Back
Top Bottom