Tafakuri ya FaizaFoxy 2: Korosho

Hivi yule dada wa nyumbani kwako aliyekuwa anampenda Magu mpaka akawa anajishaua bibi bibi hatujawahi pata rais kama huyu bado unaye au ndo ushamtumbua

Samahani kwa kutoka nje ya mada maana mimi ata mkorosho sijawahi kuuona mimi najua mibuni ya kahawa ambayo ma ccm yaliua basi tena kila mtu apambane kivyake

Samahani bibi kwa kutoka nje ya mada
 
Sawa ni wazo zuri.

Mkopo usio na riba kwa mfanyabiashara au ulimaanisha MO trust fund?
 
Juzi Mheshimiwa Rais amesema wanaoona hali ngumu ni wale waliozowea pesa zisizo halali.

Mimi huwa sielewi hoja hii ya mheshimiwa, maana najua wafanyakazi sekta ya umma na binafsi Tanzania wote wanalia mishahara yao haikidhi kujikimu kwa mambo muhimu kama chakula, malazi na mavazi.

Madili ni lazima yawepo mpaka hapo mishahara ya wavuja jasho itapotosha kwa masuala ya msingi chakula na mavazi ndipo wawabeze 'wamezoea Madili ili hali mishahara inatosha kujikimu.

Nchi zingine hakuna hata rushwa ndogo ndogo au kuombwa pesa ya chai kwa vile mishahara inatosha kujikimu chakula, mavazi na malazi.
 

Hapo kishoga umemaanisha nini bibi yangu uvae miwani nawewe.
 
Ndiyo maana nikasema wakopeshwe bila riba, ili wasitumie mitaji yao waliyopanga kufanya mengine.

Narudia tena, ilani ya viwanda ni ya ccm, na viwanda vinalipa kuliko udiwani, ubunge na urais. Kwakuwa wanaccm huwa tunaona wanafanya lolote kuhakikisha wanapata madaraka, kwanini wasikope bila riba wafungue hivyo viwanda kisha tuone matokeo ya wanachoamini?

Tena kwa kuanzia mawaziri wajiunge wanne wanne kila kundi lianzishe kiwanda watoe ajira tuone matokeo. Na funga kazi rais ajiunge na mawaziri watatu wa viwanda, wawili aliowatumbua na huyu mpya wajenge kiwanda kisha tuone mfano halisi wa hicho wanachohubiri. Akina Mo, Bakhresa and the likes hawahitaji ushauri wako kwenye viwanda maana tayari wanavyo, hawa wanaohubiri sasa ndio watoe shamba darasa la mahubiri yao.
 
Tafakuri yenyewe iko wapi?
 
Bibi uwe unavuta hii bangi ya arusha,si unaona unavyotema madini,achana na ya musoma,
Alafu uwe unapiga mswaki mdomo unanuka ugoro kama samaki aliye oza,
 
Unataka serikali ianze kufanya kazi za benki tena? Za kukopesha watu?
Kwa nini hao wafanyabiashara wasiende kukopa wenyewe benki?
 
Wengi wetu pia walipinga sana, rejea hata mijadala ya bungeni ya zao la korosho, ilifikia pabaya sana.
 
Kabla ya serikali kuingilia swala la korosho hizo korosho zilikuwa zinafanywaje ? Zilikuwa haziuziki ?

Mfano mbaazi kina Manji walikuwa wananunua kiasi gani na ku export ?

Mmemkamata mpeleka ndani sasa hivi mnaanza kulia lia na soko la mbaazi hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…