Kiuhalisia hakujishauri vema na au hakuhitaji ushauri. Nasema hivi kutokana na kauli yake kuwa wamachinga wale wa mwanza ndio waliomchagua kwa kura nyingi. Kwa maneno mengine anawalipa fadhila kwa kuwaacha wao wavunje sheria.
Ushauri wangu kwa hao wateule wa mwanza jiondoeni tu ofisini mje huku kulima nyanya.
Hivi hana wataalamu washauri na waelekezi wa namna ya kuzuia migogoro (conflict managers)? Atuajiri tumsaidie.
Ushauri wangu kwa hao wateule wa mwanza jiondoeni tu ofisini mje huku kulima nyanya.
Hivi hana wataalamu washauri na waelekezi wa namna ya kuzuia migogoro (conflict managers)? Atuajiri tumsaidie.