Wabaya ni baHima pale kigali, ndugu Yusuph yuko na sura za bakina kigali,namuzungumuza vile I can tell apart Kati ya Bantu na Nilo na kushi ,tuko na features tofaut kwa makusudi kabisa ya geneticsMjengwa nakuomba fanya utafiti wa kutosha kuhusu historia ya kweli kuhusu Joseph, je, jina la Joseph ndiyo alilo batizwa nalo wakati alipo zaliwa,je Laurent ndiye kweli biological father wa Joseph?
Mama yake Joseph ambaye alikuwa anaitwa Marcellina alikuwa na undugu gani na Waziri wa sasa wa Ulinzi wa huko Rwanda, kama ni mjomba wake hii imekaa vipi? Mjengwa ana uhakika gani kama Joseph alizaliwa Dar na sio kwenye kambi ya wapigania uhuru wa misituni aliyo kuwa setup katika misitu ya Kongo na Kabila Sr. pamoja na mpigania uhuru mwenzake kutoka Rwanda, huyo ndie alikuwa amemuoa Marcellina na alizaa nae watoto watatu na baadae alifariki kwenye mazingira ya kutatanisha.
Sasa Bwana Mjengwa atwambie huyo mpigania uhuru wa Rwanda alikuwa anaitwa nani, atutajie majina ya watoto wake, je,watoto hao walilelewa nani baada ya baba yao mzazi kuuwawa, uandishi wa Mjengwa na tafiti zake sio kwamba hajui ukweli huo is simply convenietly avoiding kulizungumzia.
Bila Wacongomani kujuwa kwa undani suala hili - amani katika Taifa la DRC itabaki ni ndoto za mchana, kuna inherent external influence zinazo manipulate siasa ndani ya Congo DRC kwa kutumia remote control hilo ndilo tatizo kuu nchini Congo - haya masuala ya Waluba, Wakasai, wa boringo boringo, wa bandeko nangai, wa maseke ya meme, Wahima hilo ni tatizo dogo kutatulika - narudia kusema wabaya wa DRC wako nje ya Congo.
Wacongomani wakifanya mchezo, wakashindwa kushikamana na ku-address kwa pamoja ni nani hasa adui wa kweli wa Taifa lao, basi Wacongo wataendelea kuvurugwa miaka nenda rudi mpaka jimbo la KIVU litakapo jitenga na kuungana na nchi jirani - that is the crux of the matter here in other words ndio lengo kuu za perenial turmoil inayo endelea nchini Congo - mengine ni danganya toto tu.
Jeshi letu l8metunukiwa zawadi ya utumishi uliotukuka kupitia JESHI la umoja wa mataifa huko DRC.Hebu tutengue hiki kitendawili kinachoendelea Bunge la DRC
Lin hiyo chief.Share japo link kwa sisi wavivu wa kufuatilia mambo ya msing kama hayaJeshi letu l8metunukiwa zawadi ya utumishi uliotukuka kupitia JESHI la umoja wa mataifa huko DRC.
Jeshi letu linalinda maslahi ya waafrika lakini waafrika wenzetu wanatusalitiJeshi letu l8metunukiwa zawadi ya utumishi uliotukuka kupitia JESHI la umoja wa mataifa huko DRC.
We jamaa bhana.Paulo alimchomekea kabila mwanamke mzuri mwenye mimba ya Jose....
badae akaja kuolewa kama mke wa 2....naishia hapa
Kuna kitu mwandishi anakwepa kukizungumza hivyo ameamua kutujaza propaganda za Bahima na kina Balunda.Mkuu Roving Journalist , asante kwa tafakuri hii, ila pia nadhani unaujua undani halisi wa Joseph Kabila baba yake halisi ni nani, na nini kilimfika, na kwanini Laurent Kabila alimtwa na kumfanya ni mwanae!.
CC mjengwa
P
Mama yake Joseph alishaolewa kabla.....We jamaa bhana.
Kabila ameanza kupigana msituni toka miaka ya 1960, Paulo alianza harakati zake Uganda miaka ya1980.
Sisi huku kuchomekewa alichomekewa lini? Au ni hadithi za kutunga tu?
Umeongea point moja ya msingi sana ambayo mtoa mada sijui kama alikuwa anaijua.Joseph kabila SI MTOTO WA MZEE LAURENT KABILA NI USANII TU UNAENDELEA......
RIP Julius Nyerere......
NITARUDI.
Wamejaa wengi hapo sinza sijui Tiss hawawaoni hao sio binadamuHata ukimuoa hatataka uzao na ww km cyo mtusi.Ataaga anaenda kwao kusalimia atabeba mimba ya mtusi mwenzie atarudi kwako.Na huwa hata km ni mama wa nyumbani lkn lazima atatumika kiintelijensia kwa manufaa ya Rwanda.
Mambo ya Chief Kunambe sioJoseph kabila SI MTOTO WA MZEE LAURENT KABILA NI USANII TU UNAENDELEA......
RIP Julius Nyerere......
NITARUDI.
Na wewe unayemwita baba yako, siyo baological father! Hivyo Kabila kuwa mwanae au la haijalishiSiyo mtoto Wa Joseph kabila hiyo,mnyarwanda huyo
Hizi ni hadithi tu.Mama yake Joseph alishaolewa kabla.....
na ana watoto wengine pia.....
but issue kama hii huwezi elewa imekuzidi
Taarifa ya ITV ya jana saa mbili usiku. Kumradhi kwa kuchelwa kujibu.Lin hiyo chief.Share japo link kwa sisi wavivu wa kufuatilia mambo ya msing kama haya
Hatari sana kuna Siri iliyopo sirini ichikitu nimewai kukisikiaMjengwa nakuomba fanya utafiti wa kutosha kuhusu historia ya kweli kuhusu Joseph, je, jina la Joseph ndiyo alilo batizwa nalo wakati alipo zaliwa,je Laurent ndiye kweli biological father wa Joseph?
Mama yake Joseph ambaye alikuwa anaitwa Marcellina alikuwa na undugu gani na Waziri wa sasa wa Ulinzi wa huko Rwanda, kama ni mjomba wake hii imekaa vipi? Mjengwa ana uhakika gani kama Joseph alizaliwa Dar na sio kwenye kambi ya wapigania uhuru wa misituni aliyo kuwa setup katika misitu ya Kongo na Kabila Sr. pamoja na mpigania uhuru mwenzake kutoka Rwanda, huyo ndie alikuwa amemuoa Marcellina na alizaa nae watoto watatu na baadae alifariki kwenye mazingira ya kutatanisha.
Sasa Bwana Mjengwa atwambie huyo mpigania uhuru wa Rwanda alikuwa anaitwa nani, atutajie majina ya watoto wake, je,watoto hao walilelewa nani baada ya baba yao mzazi kuuwawa, uandishi wa Mjengwa na tafiti zake sio kwamba hajui ukweli huo is simply convenietly avoiding kulizungumzia.
Bila Wacongomani kujuwa kwa undani suala hili - amani katika Taifa la DRC itabaki ni ndoto za mchana, kuna inherent external influence zinazo manipulate siasa ndani ya Congo DRC kwa kutumia remote control hilo ndilo tatizo kuu nchini Congo - haya masuala ya Waluba, Wakasai, wa boringo boringo, wa bandeko nangai, wa maseke ya meme, Wahima hilo ni tatizo dogo kutatulika - narudia kusema wabaya wa DRC wako nje ya Congo.
Wacongomani wakifanya mchezo, wakashindwa kushikamana na ku-address kwa pamoja ni nani hasa adui wa kweli wa Taifa lao, basi Wacongo wataendelea kuvurugwa miaka nenda rudi mpaka jimbo la KIVU litakapo jitenga na kuungana na nchi jirani - that is the crux of the matter here in other words ndio lengo kuu za perenial turmoil inayo endelea nchini Congo - mengine ni danganya toto tu.
SawasawaJoseph kabila SI MTOTO WA MZEE LAURENT KABILA NI USANII TU UNAENDELEA......
RIP Julius Nyerere......
NITARUDI.