Katika maisha hapa duniani, yakupasa kutambua ya kwamba
- Mungu yupo kwa ajili yako na wewe upo kwa ajili ya utukufu wake
- usiwe mpweke
- usijilinganishe na wengine, wewe ni wa kipekee,jikubali jinsi ulivyo
- kuwa rafiki wa kweli kwa watu wote
- kuwa makini kwenye sala, boresha uhusiano wako binafsi na Mungu
- ipende,ijali,ithamini na itunze familia yako
- kabiliana na matatizo yako mwenyewe,usiwe mtu wa kulaumu watu wala kulipa visasi
- kuwa na furaha, wenzio wanapofanikiwa onyesha furaha ya kweli