tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,139
Mwisho wa siku hutulazimishi tuamini kwamba kila mtizamo wako ulivyo basi ndio uko sahihi, ni wewe ndio ulikuwa mpiga debe mkubwa wa CCJ kwenye Media matokeo yake chama kikafa kabla hakijasajiliwa, kuna muda tuache tutumie uwezo wetu wa kufikiri na usidhani unaweza kufikiri kwa niaba yetu, hell no.
www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/347364-akina-mzee-mwanakijiji-ni-wavivu-kufikiri-10.html#post4986677
unaikumbuka hii?