Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,665
Hahaa ni kweli mkuu,nakubali..huwa nashauri vijana wangu kila leo the world is more than appearance, the reality is within inner canopy...ndio maana tunachagua wanasiasa wenye maneno bila kujua kuongea nao ni uwezo mwingine na kuongoza pia ni uwezo mwingine.
Inashangaza kabisa, Mtu anayeheshimika kwenye Jamii anaweza kuamka, akaoga,akanywa chai,akaisogelea computer yake, akalog in, akaingia kwenye face book, akalog in tena, alafu akaandika mambo ambayo Historia imekwisha yadhihisha kwamba hayako sawa. Inatia aibu sana.