We ni awaju sana serikali yenyewe ina kitengo cha kilimo,je uliwahi kusikia inamiliki mashamba ya umwagiliaji?achana na vishamba mashamba kama unafikiria ni kumwagilia kwa kutumia ndoo kama unavyomwagilia maua nyumban
Wewe MBWIGA kazi ya serikali sio kulima na ndio maana haina mashamba siku hizi!!! Serikali inaweka sera ya kuwawezesha wanaotaka kulima walime; nenda Mvomelo ukajionee wanaume wanavyokatua ardhi!!