Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,139
- 859,408
Umenikumbusha ya Ben pekeyake na chatu/to[emoji25] [emoji25] [emoji25]Hajui kuna watekaji
Umenikumbusha ya Ben pekeyake na chatu/to[emoji25] [emoji25] [emoji25]Hajui kuna watekaji
Hahahaha umenikumbusha mbali sana msalimie sista PrepetuaNjemaaaa, karibu chips maharage....
Tulikwenda tena akafanya vilivile tena ikabidi niwahoji sawasawa, wala hawajali ukisusia msosi.Hahahaha umenikumbusha mbali sana msalimie sista Prepetua
[emoji1][emoji1][emoji1]
Brother upo kweli[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa hivi mpango mzima ni KK
Si akipewa na EthiopiaYeye mwenyewe ombaomba huo uwezo wa kukopesha atautoa wapi
Kama nilimuelewa vizuri ni kuwa hizo ni wish ambazo kama baba mie nampa big up. Alisema hamna njaa sasa ivi mahindi yapo kila mahali. Akichemsha anafanya tu ivo kama binadamu wa kawaida ila dhamira yake ni njema. Lets back up him.Huyu Kipanya nimeamini na kumkubali kuwa ni bonge la msanii nguri na mzalendo![]()
Huo ni mtazamo wako sisi tupo na kipanyaKama nilimuelewa vizuri ni kuwa hizo ni wish ambazo kama baba mie nampa big up. Alisema hamna njaa sasa ivi mahindi yapo kila mahali. Akichemsha anafanya tu ivo kama binadamu wa kawaida ila dhamira yake ni njema. Lets back up him.