Wanabaraza, kesho ni siku kubwa kwa Taifa hili,,lakini hapa barazani mbona tumeisahau kabisaa...kama vile haina maana kwetu, KULIKONI!!
Kama sio tarehe 9 December Tanzania Ingekuepo?
taifa linakaribia takriban miaka 50 sasa! nusu karne...kwa hiyo waache kusema 'taifa letu changa'...maana ndio kisingizio cha maendeleo kudorora siku zote
SASA HUU NI UHURU WA TANGANYIKA AU waTANZANIA??
Uhuru Wa Tanzania bara. Tanganyika walishaiua eti. Lakini cha ajabu leo utapigwa wimbo wa Taifa La Tanzania!
Tatizo la msingi linaanzia hapo, tunaposema "uhuru wa taifa letu" tunamaanisha nini? Je Tanganyika ndiyo Tanzania? Historia hapa imepinda. Tunaambiwa kuwa hakuna taifa la Tanganyika, hivyo ki mizania maadhimisho hayo yanakosa maana. Tujitambue!SASA HUU NI UHURU WA TANGANYIKA AU waTANZANIA??
SASA HUU NI UHURU WA TANGANYIKA AU waTANZANIA??