gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
oooh sikuwa nimeona hilo neno MWALIMU..kumbe gfsonwin ni mwalimu!??
Ila siku hizi watoto hawaendi tena TUITION zinaitwa TUISHIENI...
ndio mimi ni mwl wa chem na bios na huwa nakamua hata physics. nafundisha vijana wakubwa lkn so kama una kijana wa advance nitafute kwa tuition utanipata.