Tafadhalini sana mabinti.


ah mie unione sijatulia ama vipi kimpango wako.
 
Dah,guy you are a risk taker.
Kila mwanaume rijali ni risk taker, kwa sisi tuliokulia ktk miji mikubwa tunayaona haya kila siku ingawaje kwenye macho ya watu tunaweza kujifanya kama tupo kinyume.

Kama ingekuwa hakuna risk taking wale kinadada pale Kimboka, Joli club, Kinondoni, Sun siro na Shekilango yake na pale barabarani karibu na nyumbani kwa muheshimiwa PM wetu, wateja wao ni akina nani?
 
Huyo kachelewa saaana,wengine mnazoza siku hiyohiyo tena masaa tu na anatema mzigo.unaweza kughairi umwambie natania bana.
 
Huyo kachelewa saaana,wengine mnazoza siku hiyohiyo tena masaa tu na anatema mzigo.unaweza kughairi umwambie natania bana.

Ha ha ha,tunako elekea,mambo yatakua hivi.
Hawako serious kabisa.
 

Poa bana,kweli we lijari aisee.
Hizo charity work mnaziweza wachache sana.
 

aisee itabid nifuatilie hili kumbe wengine tunazungushwa wakati wengine wanakula kiulaini
 
wee unatania....no nation has ever benefited from prolonged warfare....kitu inatakiwa iwe faster faster....ladiez do give up easily and we will like u more

yaani wewe nilikuwa naitafuta comment yako. lol
 
wanaume bwana.ukipewa fasta,mnalalamika.mkicheleweshewa mnalalamika.hamueleweki.unadhani ukipewa fasta mwanamke ndio mcharuko?hapo ndio mnakosea.unaweza ukacheleweshewa wakaonjeshwa wengine.mcharuko ni tabia tu ya mtu
 

Hivi unajua mapenzi hayana formula? Just imagine, wakati wewe anakuzungusha kuna mtu anampenda yeye ndo anasubiria mambo kama yatakaa fresh akueleze ukweli, akitemwa huko ndo anarudi full kwako na wewe unatoka kifua mbele kwa wenzako unajisifu huyu mwanamke mgumu sana, nimeteseka sana kumpata.

Kukubali mapema au kuchelewa kukubali hakumpandishi au kumshusha thamani mwanamke, kama akikubali mapema ni malaya, je akikutongoza utamwitaje? Huo ni ufinyu wa fikra.
 
Hata kama mtu mzima aisee! "Fasta fasta" inatisha, au ndio biashara tena? Hao tunawaitaga, "mama huruma",
 
Sasa kiongozi, kukubaliwa tu mapema unaona shida, sipati picha siku ukitongozwa! bilashaka utatoka mbio. Mimi binafsi mwanamke akianza mambo ya wiki ijayo kuna uwezekano mkubwa nikasahau hata kumpigia tena.


 
Sidhani kama kuna formula hapo maana wanaume hamtabiriki unaweza kumpa within 2 days akagonga na akatulia hapo hapo na mwingine ukamzungusha weee ukithubutu kumpa tu anagonga na kusepa zake so mapenzi hayana formula!
like x 1000. hapo umemaliza kila kitu, waache wanaokariri mapenz, wanaishiaga kulialia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…