Tafadhali Usininukuu; Rais Ajaye Wa Tanzania...!

Huyo Rais anayeomba ushauri kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa hatufai. Kichwani atakuwa mweupe sana. Au atakuwa mmbea tu, kila siku kiguu na njia kuomba ushauri?
 
Ndugu, kama mtoa mada ulitaka kutest nani atakuwa rais ajaye, ni dhahiri kwamba kati ya wote wanaotajwatajwa sasa Lowassa, Ngeleja, Membe, Wassira, Sitta, Mwakyembe, Magufuli, Mwandosya, Nchimbi, Dr Mwinyi, Shamsi, Pinda, Dr Shein, Dr Migiro, Dr Slaa, Zitto, mchuano mkali utakuwa kati ya Ngeleja, Lowassa na Dr Mwinyi.

Ingawa ukizamia vigezo mbalimbali, Ngeleja atashinda kwa kishindo sana.
 
Ndugu, kama mtoa mada ulitaka kutest nani atakuwa rais ajaye, ni dhahiri kwamba kati ya wote wanaotajwatajwa sasa Lowassa, Ngeleja, Membe, Wassira, Sitta, Mwakyembe, Magufuli, Mwandosya, Nchimbi, Dr Mwinyi, Shamsi, Pinda, Dr Shein, Dr Migiro, Dr Slaa, Zitto, mchuano mkali utakuwa kati ya Ngeleja, Lowassa na Dr Mwinyi.

Ingawa ukizamia vigezo mbalimbali, Ngeleja atashinda kwa kishindo sana.
Siku huyu galasa akiwa rais naukana uraia wa Tz/
 
Hata Malkia wa UK mpaka leo bado ni malkia mbona hawamlalamikii? kabla sijazaliwa mpaka namaliza shahada ya pili kingunge bado alikuwa waziri, JKN alikuwa Rais kwa miaka 20 plus, JMK amekuwa kiongozi wa CCM kabla sijazaliwa mpaka leo... we can read u between the lines Majid...tatizo lenu mko predictable sana... utakubaliana nami kuwa Ghadaffi aliipaisha Libya na kuwa imara kiuchumi kimaendeleo, wananchi walikuwa wanapata huduma muhimu za kijamii, rasilimali zao ziliwanufaisha vilivyo... ona sasa utawala holela aka demokrasia unavyo ididimiza Libya iliyokuwa inatoa misaada hata kwa marekani... inawezekana mmesoma na kusomeshwa kuwa projected ... hamna maono ... kweli wasomi ndo vibaraka wa wazungu .... RIP mashujaa wetu mliotangulia mbele ya haki ...
 
" Akiingia madarakani anaweza kutumia siku tano za kazi kwenda kuomba ushauri kwa Marais waliomtangulia; Jumatatu atakwenda kwa Dr. Salmin Amour, Jumanne kwa Mzee Ali Hassan Mwinyi, Jumatano kwa Ben Mkapa, Alhamisi kwa Dr. Aman Karume na Ijumaa atamalizia kwa Jakaya Kikwete.

Naam, inahusu kukua kwa demokrasia na umuhimu wa viongozi kuwa na utayari wa kustaafu uongozi na kuwapisha wengine. Kwamba wakabaki kuwa washauri.

Ona kwa Mugabe na Zimbabwe ya sasa, ni ukweli, kuwa Zimbabwe ya sasa, mbali ya Mugabe, haina Mzimbabwe mwingine yeyote mwenye uzoefu wa kuongoza dola.

Rais ajaye wa Zimbabwe akiingia madarakani baada ya Mugabe kufia madarakani, basi, hatakuwa na uzoefu wa kuongoza dola, na atakapohitaji ushauri, itabidi apande ndege kwenda nchi nyingine, na akija Tanzania atakutana na Marais wastaafu wasiopungua sita!

Na 'Typical Africanity' ni nini?

Ndugu zangu,

Profesa Ayite anasema; " Ni hali ya kiongozi wa Kiafrika kuhofia kuandaa mrithi kwa hofu ya kufunikwa kisiasa". - Prof Ayite.

Hivyo basi, tunaona hapa, kuwa dhana ya balance of power inakosa maana. Na hili ni tatizo kubwa linalozikumba nchi nyingi za Kiafrika. Si kwenye uongozi wa nchi tu, hata kwenye uongozi wa vyama na taasisi.

Ona Mandela, katika uhai wake , mbali ya yeye kustaafu Urais, ameshuhudia Rais mmoja mstaafu kutoka Chama chake cha ANC. Mugabe hatarajii kuitwa ' Rais Mstaafu' maana atafia madarakani.

Kwamba tangu Aprili mwaka 1980 unaongoza nchi bila kumshuhudia Rais mwingine akiongoza nchi hiyo hiyo, nacho ni kipimo cha udhaifu wa uongozi.

Maana, kwa Zimbabwe, kuna waliozaliwa na kumkuta Mugabe madarakani, nao wamepata watoto, na watoto nao wamepata watoto na kumkukuta Mugabe madarakani.

Ni ukweli, Zimbabwe ya sasa, mbali ya Mugabe, haina Mzimbabwe mwingine yeyote mwenye uzoefu wa kuongoza dola.Typical Africanity!
Inasikitisha.

Maggid Mjengwa.
Iringa.

Mwache MUGABE ROBERT afanye yale yaliyowashinda viongozi wengi wa Afrika, unadhani yeye alikuwa mjinga kaisi hicho nakusihi usome vizuri historia ya Zimbabwe kabla ya Uhuru na wakati MUGABE anakabidhiwa madaraka akitokea mstuni Waingereza wa ZIMBABWE walimuhaidi nini, na kwanini ilichukua miaka 11 ndo Mugabe akaamua kuchukua hatua. Mugabe anapendwa na Wazimbabwe kuliko wewe unavyodhani, na demokrasia ya Mgharibi isitufunge Waafrika, sisi tulikuwa na tawala za kichifu na kifalme.
 
Majid bana unajishushia heshima bure........ vp rambirambi kuna nini kati ako wewe na lukosi kumchafua msigwa?
 
Ndugu, kama mtoa mada ulitaka kutest nani atakuwa rais ajaye, ni dhahiri kwamba kati ya wote wanaotajwatajwa sasa Lowassa, Ngeleja, Membe, Wassira, Sitta, Mwakyembe, Magufuli, Mwandosya, Nchimbi, Dr Mwinyi, Shamsi, Pinda, Dr Shein, Dr Migiro, Dr Slaa, Zitto, mchuano mkali utakuwa kati ya Ngeleja, Lowassa na Dr Mwinyi.

Ingawa ukizamia vigezo mbalimbali, Ngeleja atashinda kwa kishindo sana.

Hivi kila mtu anataka kuwa Rais wa TZ, kama mtu ameshindwa kuongoza hata wizara nchi ataiweza na kwanini watu sikuhizi wanalazimisha kuutaka uraisi nawashauri wajipime na wapite kwa wanachi wajipime
 
Kwa mfano Rais ajaye wa Tz aende kwa Jakaya kuomba ushauri atashauriwa nini!
Cha zaidi ataimalizia nchi yetu shimoni kabisaa!!
 
" Akiingia madarakani anaweza kutumia siku tano za kazi kwenda kuomba ushauri kwa Marais waliomtangulia; Jumatatu atakwenda kwa Dr. Salmin Amour, Jumanne kwa Mzee Ali Hassan Mwinyi, Jumatano kwa Ben Mkapa, Alhamisi kwa Dr. Aman Karume na Ijumaa atamalizia kwa Jakaya Kikwete.

Naam, inahusu kukua kwa demokrasia na umuhimu wa viongozi kuwa na utayari wa kustaafu uongozi na kuwapisha wengine. Kwamba wakabaki kuwa washauri.

Ona kwa Mugabe na Zimbabwe ya sasa, ni ukweli, kuwa Zimbabwe ya sasa, mbali ya Mugabe, haina Mzimbabwe mwingine yeyote mwenye uzoefu wa kuongoza dola.

Rais ajaye wa Zimbabwe akiingia madarakani baada ya Mugabe kufia madarakani, basi, hatakuwa na uzoefu wa kuongoza dola, na atakapohitaji ushauri, itabidi apande ndege kwenda nchi nyingine, na akija Tanzania atakutana na Marais wastaafu wasiopungua sita!

Na 'Typical Africanity' ni nini?

Ndugu zangu,

Profesa Ayite anasema; " Ni hali ya kiongozi wa Kiafrika kuhofia kuandaa mrithi kwa hofu ya kufunikwa kisiasa". - Prof Ayite.

Hivyo basi, tunaona hapa, kuwa dhana ya balance of power inakosa maana. Na hili ni tatizo kubwa linalozikumba nchi nyingi za Kiafrika. Si kwenye uongozi wa nchi tu, hata kwenye uongozi wa vyama na taasisi.

Ona Mandela, katika uhai wake , mbali ya yeye kustaafu Urais, ameshuhudia Rais mmoja mstaafu kutoka Chama chake cha ANC. Mugabe hatarajii kuitwa ' Rais Mstaafu' maana atafia madarakani.

Kwamba tangu Aprili mwaka 1980 unaongoza nchi bila kumshuhudia Rais mwingine akiongoza nchi hiyo hiyo, nacho ni kipimo cha udhaifu wa uongozi.

Maana, kwa Zimbabwe, kuna waliozaliwa na kumkuta Mugabe madarakani, nao wamepata watoto, na watoto nao wamepata watoto na kumkukuta Mugabe madarakani.

Ni ukweli, Zimbabwe ya sasa, mbali ya Mugabe, haina Mzimbabwe mwingine yeyote mwenye uzoefu wa kuongoza dola.Typical Africanity!
Inasikitisha.

Maggid Mjengwa.
Iringa.
Waafrika tu wanafiki sana na hatusemi kile tunachokiamini... ni unafiki unafiki mpaka milele. Kikwete alijiandaa miaka kumi mbona ona sasa nchi inavyokwenda kombo....
 
Hata Malkia wa UK mpaka leo bado ni malkia mbona hawamlalamikii? kabla sijazaliwa mpaka namaliza shahada ya pili kingunge bado alikuwa waziri, JKN alikuwa Rais kwa miaka 20 plus, JMK amekuwa kiongozi wa CCM kabla sijazaliwa mpaka leo... we can read u between the lines Majid...tatizo lenu mko predictable sana... utakubaliana nami kuwa Ghadaffi aliipaisha Libya na kuwa imara kiuchumi kimaendeleo, wananchi walikuwa wanapata huduma muhimu za kijamii, rasilimali zao ziliwanufaisha vilivyo... ona sasa utawala holela aka demokrasia unavyo ididimiza Libya iliyokuwa inatoa misaada hata kwa marekani... inawezekana mmesoma na kusomeshwa kuwa projected ... hamna maono ... kweli wasomi ndo vibaraka wa wazungu .... RIP mashujaa wetu mliotangulia mbele ya haki ...

Bonge la idea!!
 
Mugabe kaingia kama Rais mwaka gani vile? Data zinasema ni Mwaka 1987 na siyo 1980 kwani kipindi hicho ndipo alipoanza kuwa Waziri Mkuu. Tafadhali rekebisha Data zako.
Kwamba tangu Aprili mwaka 1980 unaongoza nchi bila kumshuhudia Rais mwingine akiongoza nchi hiyo hiyo, nacho ni kipimo cha udhaifu wa uongozi.
Maana, kwa Zimbabwe, kuna waliozaliwa na kumkuta Mugabe madarakani, nao wamepata watoto, na watoto nao wamepata watoto na kumkukuta Mugabe madarakani.
 
kwanza amekataa kabisa asinukuliwe. Maana kaamua kuweka utumbo, mwenye kuosha aoshe mwenye kuukamua aukamue, mwenye kuukata aukatekate. Anajadili uongozi nchini zimbabwe? Anajadili rais ajaye wa tz? Hata kama alitaka kujadili yote hayo, hakuna hoja za maana na za msingi alizoleta kwenye mjadala.
Pengine kama alioteshwa!!!
 
Rais yeyote ajaye, atakayeenda kuomba ushauri kwa Kikwete atakuwa Pambaf kabisa..!
Labda aombe ushauri wa Hoteli nzuri za kufikia nje ya nchi pamoja na ushauri namna ya kubembeleza ili uhongwe suti...
 
Ndugu, kama mtoa mada ulitaka kutest nani atakuwa rais ajaye, ni dhahiri kwamba kati ya wote wanaotajwatajwa sasa Lowassa, Ngeleja, Membe, Wassira, Sitta, Mwakyembe, Magufuli, Mwandosya, Nchimbi, Dr Mwinyi, Shamsi, Pinda, Dr Shein, Dr Migiro, Dr Slaa, Zitto, mchuano mkali utakuwa kati ya Ngeleja, Lowassa na Dr Mwinyi.

Ingawa ukizamia vigezo mbalimbali, Ngeleja atashinda kwa kishindo sana.

Ngeleja ni janga la Taifa, huo Urais labda umpe wewe na Mkeo kuongoza familia yenu.
 
Hivi ni kweli unataka tuamini kuwa hakuna Mzimbabwe mwingine anaeweza kuongoza nchi ile zaidi ya Mgabe!! Ni lazima akili yako imefungwa na fikra za kikoloni. Uraisi ni taasisi inayoongozwa na kanuni na misingi ya katiba. Kama nchi itapata raisi asie na uwezo wa kungoza kwa kufuata katiba akategemea ushauri wa marafiki basi ni vigumu nchi kupata maendeleo.
 
Bado sina hakika kama JK Nyerere au Mandela, Multara Mohammed au Marian Ngwabi, kama nao waliomba ushauri kwa watangulizi wao. Maggid, pengine kuna jambo ulitaka kuliwasilisha hapa jamvini lakini wanajamvi hatujakuelewa!!!!
 
Back
Top Bottom