Ndugu zangu naombeni mwenye kufahamu anisaidie

Ngengemkenilomolomo

JF-Expert Member
Mar 21, 2015
227
281
Habari ya muda huu ndugu zangu, ni matumaini yangu kwamba wote mko poa kabisa na mnaendelea na majukumu yenu vizuri.

Ndugu yenu nina shida moja.
Nilipata ka uvimbe chini ya mstari wa korodani sasa nikahisi labda ni jipu maana kanauma sana lakini kila nkiangalia kama ni jipu basi nilitafutie mdomo wake nilitumbue lakini sioni mdomo na uvimbe unaongezeka ingawa sio mkubwa sana ila sasa maumivu yake sio poa mpaka tumbo linauma.

Sasa nilitaka kufahamu tatizo yaweza kuwa ni nini? ni jipu kama ninavohisi au ni kitu kingine?

Naomba mwenye kufahamu tafadhari naamini wapo wataalamu humu🙏🙏
 
Habari ya muda huu ndugu zangu,ni matumaini yangu kwamba wote mko poa kabisa na mnaendelea na majukumu yenu vizuri

Ndugu yenu nina shida moja
Nilipata ka uvimbe chin ya mstari wa korodani sasa nikahis labda ni jipu maana kanauma sana lkn kila nkiangalia kama ni jipu bas nilitafutie mdomo wake nilitumbue lkn sion mdomo na uvimbe unaongezeka ingawa sio mkubwa sana ila sasa maumivu yake sio poa mpk tumbo linauma
Sasa nilitaka kufaham tatzo yaweza kuwa ni nn?,ni jipu kama ninavohis au nikitu kingine
Naomba mwenye kufaham tafadhal naamin wapo wataalamu humu
Nenda hospitali

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Habari ya muda huu ndugu zangu, ni matumaini yangu kwamba wote mko poa kabisa na mnaendelea na majukumu yenu vizuri.

Ndugu yenu nina shida moja.
Nilipata ka uvimbe chini ya mstari wa korodani sasa nikahisi labda ni jipu maana kanauma sana lakini kila nkiangalia kama ni jipu basi nilitafutie mdomo wake nilitumbue lakini sioni mdomo na uvimbe unaongezeka ingawa sio mkubwa sana ila sasa maumivu yake sio poa mpaka tumbo linauma.

Sasa nilitaka kufahamu tatizo yaweza kuwa ni nini? ni jipu kama ninavohisi au ni kitu kingine?

Naomba mwenye kufahamu tafadhari naamini wapo wataalamu humu
Hatuwezi kujua kama ni jipu au la mpaka tulione.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom