Tafadhali mwenye kujua huu mti unaitwaje kitaalam na kiasili?

Albinoomweusi

JF-Expert Member
Oct 28, 2016
3,189
8,217
Habari
Tafadhali mwenye kujua huu mti unaitwaje kitaalam na kiasili? Pia una faida gani kitabibu maana mke wangu aliupanda kama maua lakini kuna siku kuna Mama alitoka mbali kuja kuuhitaji( ukiwa bado mdogo) na alikuwa tayari kumlipa hata laki moja lakini mke wangu alimkatalia kumpa sasa umekuwa ningependa kujua kwenu wataalam kama kuna mtu yoyote anaufahamu
20230829_095647.jpg
20230829_095633.jpg
20230829_095559.jpg
 
Habari
Tafadhali mwenye kujua huu mti unaitwaje kitaalam na kiasili? Pia una faida gani kitabibu maana mke wangu aliupanda kama maua lakini kuna siku kuna Mama alitoka mbali kuja kuuhitaji( ukiwa bado mdogo) na alikuwa tayari kumlipa hata laki moja lakini mke wangu alimkatalia kumpa sasa umekuwa ningependa kujua kwenu wataalam kama kuna mtu yoyote anaufahamuView attachment 2732423View attachment 2732424View attachment 2732425
Unaitwa sago na Una sumu kali kweli hasa kwenye mbegu zake
 
Huo mti huwa n wa bahati...nlikuta tik tok kuna jamaa anajiita genius anaudadavua .....nakumbuka alisema hakiksha unaupanda kwa house yako na asubuh mwagilia huku ukinuia maneno flan ..... Mara sjui unaweza weka hela kwa matawi yake unapga dua zen unasepa hela ztakuwa znakufata ulipo....
Hizi ni akili za kimasikini na kushindwa,
mwisho wa siku unajitengenezea mazingira ya kujifariji.
Eti hela zitakuwa zinakufuata, yaani from no where eti hela zikufuate?
Bila kujishughulisha kuzitafuta zenyewe zikufuate tu?
Kisa umeongea mbele ya majani?

Umasikini ni mzigo sana.
Yaani akili zenyewe kama ni hizi sisi kama taifa kazi tunayo.
 
Huo unaitwa kitaalamu cycas revoluta, na majina yake yanatofautiana nchi kwa nchi, mti huu hutumika kwa matibabu kutibu Presha ya Juu ya Damu, Maumivu ya Kichwa, Maumivu mifupa yanayosababishwa na baridi, pamoja na mgando wa damu au vimiminika baadhi kwenye mwili...
 
Habari
Tafadhali mwenye kujua huu mti unaitwaje kitaalam na kiasili? Pia una faida gani kitabibu maana mke wangu aliupanda kama maua lakini kuna siku kuna Mama alitoka mbali kuja kuuhitaji( ukiwa bado mdogo) na alikuwa tayari kumlipa hata laki moja lakini mke wangu alimkatalia kumpa sasa umekuwa ningependa kujua kwenu wataalam kama kuna mtu yoyote anaufahamuView attachment 2732423View attachment 2732424View attachment 2732425
Ni dawa kwa wale jogoo hapandi mtungi. Chuma majani 10 changanya na 10 ya mpera chemsha kwa maji safi lita moja. Yaache yachemke dakika 10. Epua unywe glasi moja x 3 kwa siku kwa siku saba. Tatizo lako litaisha
 
Habari
Tafadhali mwenye kujua huu mti unaitwaje kitaalam na kiasili? Pia una faida gani kitabibu maana mke wangu aliupanda kama maua lakini kuna siku kuna Mama alitoka mbali kuja kuuhitaji( ukiwa bado mdogo) na alikuwa tayari kumlipa hata laki moja lakini mke wangu alimkatalia kumpa sasa umekuwa ningependa kujua kwenu wataalam kama kuna mtu yoyote anaufahamuView attachment 2732423View attachment 2732424View attachment 2732425
American palm.
Ni mti wa mapambo na unaoteshwa kwa kutumia vikonyo vya mti mama.
Tuseme ni mti wa mapambo wa kudumu, maana unakua taratibu sana.
Sia ajabu miaka 40 ukaukuta na urefu wa ft 15 ama pungufu.
 
ACHA choyo na Mke wako.

Ndio faida ya Ichoyo.

Ungekubali KUMPA angekupa maelekezo kwa Moyo mmoja na ungepata mengine zaidi na zaidi.


Tuondolee upimbi wako hapa
 
Huo unaitwa kitaalamu cycas revoluta, na majina yake yanatofautiana nchi kwa nchi, mti huu hutumika kwa matibabu kutibu Presha ya Juu ya Damu, Maumivu ya Kichwa, Maumivu mifupa yanayosababishwa na baridi, pamoja na mgando wa damu au vimiminika baadhi kwenye mwili...
Unawezafafanua zaidijinsi gani ya kuandaa na kutumia?
 
Kisayansi unaitwa tayana-wog asili yake ni huko Vietnam. Unatumika kutibu presha, sukari, tezi dume na nguvu za kiume. Jina maarufu zaidi ni sago palm. Jamii ya michikichi.
 
Back
Top Bottom