Tafadhali Magufuli achana na Lowassa kabisa

Tafadhali Magufuli achana na Lowassa kabisa

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,792
Reaction score
2,421
Kwanza wengi wameisha kili utendaji wako mzuri na kunashaka ndogo zaidi juu ya uadilifu wako kuliko wagombea wote wa CCM.
naomba uachane na Usikubali kukaa meza moja na Lowasa kwasababu zifuatazo.

Moja Lowassa anataka ahakikishiwe kulindwa kwa maslahi yake yeye na marafiki zake kama wewe ukiwa raisi hata kama yanaumiza maslahi ya nchi. Ndio maana anatumia watu umuite eti mtafute maridhiano.
Pili lowasa sio msafi machoni pa wakosoaji kuambatana nae ni kubaliki uchafu na ufisadi tuhuma ambazo zinamkabili mda mrefu na ameshindwa kuthibitisha kuwa hahusiki nazo.
Atakuunganisha na marafiki wake wasioaminika

anahasira za kukatwa hivyo hakuna uhakika kama hana kisasi moyoni.

Magufuli jipe moyo Wafuasi wa Lowasa waliobaki wapo monduli tu. Wengine wamelala mbele na naamini utashinda bila msaada wa mafisadi.

na lazma Lowasa ajue unaweza kuwa raisi bila yeye kukusapoti na unaweza.

Kumbuka JK aliingia kwa msaada wa Lowasa na watuhumiwa wa ufisadi na akashindwa kufanya mazuri kwenye nchi.

Najua magazeti ya Lostam yatamsifu na kukuponda na ya Mengi pia sijui alihaidiwa vitaru vya gesi? Kuwa na imani utashinda tu.
 
Akifanya hivyo ajiandae na serekali ya mseto. Maana swala sio uraisi bali na idadi ya wabunge pia...itabidi aanze kuazima wabunge ukawa kuafanya mawaziri.....tundu lissu ndo atakuwa mwanasheria mkuu wake
 
mnaanzakuweweseka mapema ngoja mwezi wa kumi mtajua nguvu ya mmasai
 
Kwanza wengi wameisha kili utendaji wako mzuri na kunashaka ndogo zaidi juu ya uadilifu wako kuliko wagombea wote wa CCM.
naomba uachane na Usikubali kukaa meza moja na Lowasa kwasababu zifuatazo.

Moja Lowassa anataka ahakikishiwe kulindwa kwa maslahi yake yeye na marafiki zake kama wewe ukiwa raisi hata kama yanaumiza maslahi ya nchi. Ndio maana anatumia watu umuite eti mtafute maridhiano.
Pili lowasa sio msafi machoni pa wakosoaji kuambatana nae ni kubaliki uchafu na ufisadi tuhuma ambazo zinamkabili mda mrefu na ameshindwa kuthibitisha kuwa hahusiki nazo.
Atakuunganisha na marafiki wake wasioaminika

anahasira za kukatwa hivyo hakuna uhakika kama hana kisasi moyoni.

Magufuli jipe moyo Wafuasi wa Lowasa waliobaki wapo monduli tu. Wengine wamelala mbele na naamini utashinda bila msaada wa mafisadi.

na lazma Lowasa ajue unaweza kuwa raisi bila yeye kukuapoti na unaweza
Unataka matusi ww! Acha wivu wa kike ww, mwacheni Mzee wa watu apumzike, ungemshauri aache kufanya kambeni kabla ya muda, aache vitisho, by the way Uraisi ni taasisi, hauendi/huingii Ikulu kama individual, hiyo siyo km nafsi ya kutafuta kiongozi wa Darasa (monitor), sasa kama taratibu zilibatilishwa usitigemee ataungwa mkono na wanaccm wote, na usijitie upufuu, tumeona hasira ya wanaccm kwa baadhi ya Maeneo wakichoma kadi zao nk, kwa hiyo acha kutuhadaa kuhusu mgombea wako.
 
Awe Lowasa awe Magufuli bado ccm ni ile ile kwaiyo ushauri wako bado hauna mashiko kwani watu wanahitaji mabadiliko kupitia chama kingine na sio ccm.
 
Kwanza wengi wameisha kili utendaji wako mzuri na kunashaka ndogo zaidi juu ya uadilifu wako kuliko wagombea wote wa CCM.
naomba uachane na Usikubali kukaa meza moja na Lowasa kwasababu zifuatazo.

Moja Lowassa anataka ahakikishiwe kulindwa kwa maslahi yake yeye na marafiki zake kama wewe ukiwa raisi hata kama yanaumiza maslahi ya nchi. Ndio maana anatumia watu umuite eti mtafute maridhiano.
Pili lowasa sio msafi machoni pa wakosoaji kuambatana nae ni kubaliki uchafu na ufisadi tuhuma ambazo zinamkabili mda mrefu na ameshindwa kuthibitisha kuwa hahusiki nazo.
Atakuunganisha na marafiki wake wasioaminika

anahasira za kukatwa hivyo hakuna uhakika kama hana kisasi moyoni.

Magufuli jipe moyo Wafuasi wa Lowasa waliobaki wapo monduli tu. Wengine wamelala mbele na naamini utashinda bila msaada wa mafisadi.

na lazma Lowasa ajue unaweza kuwa raisi bila yeye kukusapoti na unaweza.

Kumbuka JK aliingia kwa msaada wa Lowasa na watuhumiwa wa ufisadi na akashindwa kufanya mazuri kwenye nchi.

Najua magazeti ya Lostam yatamsifu na kukuponda na ya Mengi pia sijui alihaidiwa vitaru vya gesi? Kuwa na imani utashinda tu.

Mkuu kama ushahidi unao jitokeze hadharani....

Mh David Kafulila alijitokeza na ushahidi wa tuhuma za Tegeta Escrow. Ufisadi ukawekwa hadharan watu wakavuliwa nguo kw aibu ya ushiriki wao.
 
Kwanza wengi wameisha kili utendaji wako mzuri na kunashaka ndogo zaidi juu ya uadilifu wako kuliko wagombea wote wa CCM.
naomba uachane na Usikubali kukaa meza moja na Lowasa kwasababu zifuatazo.

Moja Lowassa anataka ahakikishiwe kulindwa kwa maslahi yake yeye na marafiki zake kama wewe ukiwa raisi hata kama yanaumiza maslahi ya nchi. Ndio maana anatumia watu umuite eti mtafute maridhiano.
Pili lowasa sio msafi machoni pa wakosoaji kuambatana nae ni kubaliki uchafu na ufisadi tuhuma ambazo zinamkabili mda mrefu na ameshindwa kuthibitisha kuwa hahusiki nazo.
Atakuunganisha na marafiki wake wasioaminika

anahasira za kukatwa hivyo hakuna uhakika kama hana kisasi moyoni.

Magufuli jipe moyo Wafuasi wa Lowasa waliobaki wapo monduli tu. Wengine wamelala mbele na naamini utashinda bila msaada wa mafisadi.

na lazma Lowasa ajue unaweza kuwa raisi bila yeye kukusapoti na unaweza.

Kumbuka JK aliingia kwa msaada wa Lowasa na watuhumiwa wa ufisadi na akashindwa kufanya mazuri kwenye nchi.

Najua magazeti ya Lostam yatamsifu na kukuponda na ya Mengi pia sijui alihaidiwa vitaru vya gesi? Kuwa na imani utashinda tu.

shut....your mouth wewe unamfahamu sana lowassa kuliko wajumbe wote WA NEC kwa UNDANI????/

ACHA KUFUATA MKUMBO......

ACHA CHUKI BINAFSI....
 
mbona mnamponda lowasaa alaf yeye kakaa kimya? mnatuma vjana wa mtukane lkn yy yu kimya nivpi hamjiuliz?mnajua alilo lipanga?
 
magufuli ni raisi atae ikomboa nchi endapo hatakubali kukaa meza moja na mafisadi kama kina lowasa na kikwetw
 
shut....your mouth wewe unamfahamu sana lowassa kuliko wajumbe wote WA NEC kwa UNDANI????/

ACHA KUFUATA MKUMBO......

ACHA CHUKI BINAFSI....

tulia ww kwan alichosema n uwongo? Au lowasa n baba yako mdogo?
 
Back
Top Bottom