kwemanga1
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 839
- 599
Ukiwa nje ya taasisi ya halmashauri unaweza kuona kama ni kataasisi kadogo, lakini ukweli inahitaji mtu makini na mwenye uzoefu katika utawala wa umma kuna wakuu wa idara wenye uzoefu mkubwa, na ndio maana waliotangulia waliweka vigezo vya ukurugenzi ktk wizara na halmashauri, lakini kwa kuwa mfalme ameamua kuja na utaratibu wake sisi yetu ni macho, ila kwa maoni yangu na ninavyozifaham kazi za ukurugenzi ktk halmashauri kwa wengi wa wateule naona giza nene mbele, tusubiri panga pangua nyingine