Hivi kiwa msomi ni lazima uwe na machapisho?
Kwa imani yangu naamin kuwa msomi ni yeyote kwanza anaye jua kusoma na kuandika lugha yake ya taifa na kuielewa na pia anajua kuhesabu na kukokotoa hesabu za kawaida kama +, - /, * na pia anakuwa mbunifu na mwenye mawazo chanya kwa maendeleo yake binafsi,na ya jamii yake na ya watu wanao mzunguka na taifa kwa ujumla. Huyo kwangu mimi ndiyo huwa namuona msomi,
Usomi kwangu sio vyeti vya degree,masters ,PhD nk.maan wapo wengi wenye vyeti hivi lakin wanaprove failure kwa mambo hata madogo na ambayo hayahitaji vyeti kila uchwao utadhan hawana elimu kabisa hata ya awali zaid ya utu uzima.