Kaka! Ni muzina de tata et de mwana et de papa santu muzina de papa nzambe....maana yake kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu. Kwa jina la baba mungu.
Rest in Peace Tabu Ley! Mimi nitakumbuka kwa kibao cha huzuni baada ya kuachwa na Mbilia Bel. kinaonyesha jinsi alivyoumia tungekua sisi kina Mushi na Munisi "Mbilia angefutika" hivi wadau kiilikuwa chaitwaje?
Rest in Peace Tabu Ley! Mimi nitakumbuka kwa kibao cha huzuni baada ya kuachwa na Mbilia Bel. kinaonyesha jinsi alivyoumia tungekua sisi kina Mushi na Munisi "Mbilia angefutika" hivi wadau kiilikuwa chaitwaje?
RiP Tabu Ley! Nakumbuka kauli yako 1989 (or it could be 1988) alipofariki Les Grand Maitre Franco Luambo Makiadi "nitaongea na nani sasa wakati mzee mwenzangu hayupo tena"?