Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
.mlipo wapiga wabunge arusha, tabora na nyamongo sheria ilifatwa?
Kwa kuwa ninyi ni tofauti na sisi kwa ninyi msioneshe mfano kwa kufuata sheria kwa kuishitaki serikali mahakamani? Mbona mtu mmoja kama Mtikila anaweza kuishinda serikali mahakamani?