BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,554
- 9,238
Kumbukeni Tabora ina historia kubwa kwa uhuru wa nchi.Tabora ni watu walioelewa haraka maana ya vyama Vingi.Walimpa tabu kidogo Nyerere.Ninachowapendea Wanyamwezi sio wanafiki kwenye kusema ukweli wanakuchana live.Nawakumbuka James Mapalala,Kasanga Tumbo, Abdala Fundikira, Kasela Bantu
Mimi Kisandu Junior nimekaa mikoa mingi ila tabora ni mkoa wa kishamba sana.
Tatizo mahali mwarabu alipotawala kuna uswahili sana na maendeleo butu.Ona Ujiji Kigoma,msalala na BukoliWewe huwajui vizuri wanyamwezi...ni watu wa maneno maneno sanaa, fitina sanaa.
mwarabu kakaa dar es salaam pia,akatoa na jina la mjiTatizo mahali mwarabu alipotawala kuna uswahili sana na maendeleo butu.Ona Ujiji Kigoma,msalala na Bukoli
we muongo tuWewe huwajui vizuri wanyamwezi...ni watu wa maneno maneno sanaa, fitina sanaa.
Haujakosea kujiita Kisandu Jr .....Masqo Jr.Mimi Kisandu Junior nimekaa mikoa mingi ila tabora ni mkoa wa kishamba sana.
wa hovyo au hauna vurugu!!?..manake wengine mnasikia vurugu tangu mpo tumboni mwa mama zenuMji maarufu lakini ni waovyo sana Tabora , ebu wajirekebishe
wanyamwezi sio wakurupukaji wala malimbukeni kama wengine walivolimbuka kwa helkopta za chademaUkiona miji ambayo ccm wanakubalika sana ujue watu wake elimu duni, uchumi hovyo,
mwenge ni pazuri au pana vurugu!?Kuna rafiki yangu tulikuwa chuo aliwahiniambia Mwenge Dsm ni pazuri kushinda Tabora mjini(kwao)😀
Ngoja tumuwindeWanekufanya nini? Maanake wanyamwezi hawana dogo, ukijifanya unajua wanakupa za uso. Hawarembi.
Dar es Salaam wapi, mchunga ng'ombe tu.Wewe jamaa ni mwanaume wa Dar Es Salaam nini?
Hili jamaa ndio maana walilipiga ndani.Hili bandiko ni la mtu asiye na elimu, hekima na wala hajitambui.
Vinginevyo atakuwa ni kijana mdogo sana ambaye hata kamasi za utoto hazijakauka.
Sehemu wanayoishi binadamu hauwezi kupasema ni pabaya.
Pangelikuwa ni pabaya wangelihama na kutafuta mahali pengine pakuishi, dunia ni kubwa hii.
Hivi ulishafika maeneo ya mikoa ambayo ni semi desert, hakuna miti, hakuna kilimo chenye tija, maji ni shida, watu wanatumia vinyesi vya mifugo kama nishati ya kupikia, lakini watu wapo, wanapapenda na wanapaona ni pazuri.
Na wakisafiri kwamfano kuja Dar wanapamiss mno kwao na wanarudi hima kwa haraka maana ni pazuri na pamawafaa kwa maisha yao.
Kuzungumzia pahala wanapoendeshea maisha na kujipatia riziki binadamu wenziyo ni zaidi ya utoto.
Haya, toa ushauri wako basi ili wahame huko, waende pazuri unapopaona wewe ni panafaa?
Kwasasa ni Royal clubmissing mwanaisungu Club
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ni ngome ya chama chetu japo kua inaongoza Kwa kuwa na vichaa wengi Sana wanao zurura mitaani
Sasa wewe mzee ulienda mitaa ya uswahilini je ulienda cheyo A, B, na C na je ulifika Mitaa ya Ipuli Bonana na freemasonry na je sansiro!mjini haijabadilika mkuu, nimetoka huko mwaka 1994 nikiwa nimemaliza milambo secondary nikarudi 2018 hiim nikapita mitaa ya mwanza road, chemchem, isevya, kiloleni, nyumba nilizoacha miaka hiyo zipo vile vile, kwa kweli haijabadilika, ila nje ya mji kiduuuchu imebadilika, ila bado sana, sasa hujatembelea wilaya zake kama urambo, igunga, nzega, na sikonge, unaweza ukasema usirudi, ila napasifu kwa asali tu
Uongo tafuteni njia zingine maana nyie kila kitu siasa tu.Ukiona miji ambayo ccm wanakubalika sana ujue watu wake elimu duni, uchumi hovyo,
Umejuaje wewe ni mshirikina halafu ni ke.Mnh..uko sio kabisa...nahisi visoke ndo vimezaliwa huko