Tabora: Matunda ya kutengenezea wine ya amarula yapo Tanzania

Hushan

Member
Dec 5, 2011
73
41
wanajamviii nimeona niweke wazi sijui kama kuna watu wanafahamu hii wine inayotoka south africa inayoitwa amarula yaani ni kukosa viwanda sijui ni nini, maana miti ya matunda haya yapo mkoa wa Tabora japo kuwa yanapatikana kwenye misitu.

Lakini sioni hatari kama watu tutajitosa na kuchuma na kuuza hata atokee mfadhili atengeneze kiwanda cha wine kama amarula.

Nasikitika sana Watanzania tumelala fo fo fo
 
wanajamviii nimeona niweke wazi sijui kama kuna watu wanafahamu hii wine inayotoka south africa inayoitwa amarula yaani ni kukosa viwanda sijui ni ubwege maana miti ya matunda haya yapo mkoa wa tabora japo kuwa yanapatikana kwenye misitu lakini sioni hatari kama watu tutajitosa na kuchuma na kuuza hata atokee mfadhili atengeneze kiwanda cha wine kama amarula.
nasikitika sana watanzania tumelala fo fo fo
Yapo kwenye misitu kibao ya TZ
mpaka Ruvuma pia yapo wanayaita ma Kadonga
 
angalia hayo
 

Attachments

  • mti amarula 2.jpg
    mti amarula 2.jpg
    206.8 KB · Views: 119
  • tunda 1.jpg
    tunda 1.jpg
    15.7 KB · Views: 99
  • tunda 2.jpg
    tunda 2.jpg
    18 KB · Views: 104
wanajamviii nimeona niweke wazi sijui kama kuna watu wanafahamu hii wine inayotoka south africa inayoitwa amarula yaani ni kukosa viwanda sijui ni ubwege maana miti ya matunda haya yapo mkoa wa tabora japo kuwa yanapatikana kwenye misitu lakini sioni hatari kama watu tutajitosa na kuchuma na kuuza hata atokee mfadhili atengeneze kiwanda cha wine kama amarula.
nasikitika sana watanzania tumelala fo fo fo
Matatizo ya dunia yanatatuliwa na wakazi wa dunia ambao ni binadamu. Na waafrika 'tumejipendekeza' kuwa "African questions should have African answers" vivyo hivyo matatizo ya Watanzania ni lazima yatatuliwe na Watanzania wenyewe.
Naleta kiswahili chote hiki maana naona unaongelea ubwege hapo hapo ukiongelea wafadhili. Ilikuwa ni muhimu sana Watanzania kukosa vitu vyote lakini tukapata akili na hekima. Ukipewa mali zote za dunia kama huna hekima/akili zitaishia mikononi mwa wengine; na hata uwe 'mkosefu' kiasi gani kama akili na hekima vinachemka kichwani dunia yote itakuwa yako.
Tafakari hapo alafu ujue hayo matunda yataliwa na nyani huko msituni kwa miaka mingine mingapi!
 
wanajamviii nimeona niweke wazi sijui kama kuna watu wanafahamu hii wine inayotoka south africa inayoitwa amarula yaani ni kukosa viwanda sijui ni nini, maana miti ya matunda haya yapo mkoa wa Tabora japo kuwa yanapatikana kwenye misitu.

Lakini sioni hatari kama watu tutajitosa na kuchuma na kuuza hata atokee mfadhili atengeneze kiwanda cha wine kama amarula.

Nasikitika sana Watanzania tumelala fo fo fo
Mimi uelewe wangu ni kuwa mti huo unapatikana kwa wingi katika msitu wa Udzungwa
 
Back
Top Bottom