NGUZO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 257
- 46
Wadau kuna mama mmoja Tabora ambaye amekoka anadai ameoteshwa kuponya watu magonjwa yote, hivi ninavyozungumza tayari kuna foleni kubwa ya wagonjwa wanasubiri kupata tiba.
Tofauti ya mama huyu na Mchungaji wa Loliondo ni kuwa, huyu anatoa kikombe cha maji ya kawaida baada ya kuyaombea. Haya karibuni Tabora.
Tofauti ya mama huyu na Mchungaji wa Loliondo ni kuwa, huyu anatoa kikombe cha maji ya kawaida baada ya kuyaombea. Haya karibuni Tabora.